1000 = 22000. Jiongeze mwenyewe hapoUzuri wa sarafu yoyote ile ni kwenye thamani yake tu, hongera zao naona wenzetu noti kubwa ni 1000, sijui sawa na shilingi ngapi za Tanzania kwa mnaojua.
kwa hiyo Twiga wapo tanzania tu....duh! kumbe! sikujua mie😀😀😀😀Hee! Kenya ni majizi kweli. Embu ona! Wameshaiba Twiga wetu!
Ha ha ha kitambulisho cha 20,000/-Mtuache na ujinga wetu nyie endeleeni na mambo yenu. Hapa mjini kila mtu ana lifestyle yake.
Mbona nyie hamna vitambulisho vya ujasiriamali na hatuwasemi.
can buy a sweet,chewing gum,pilipili moja,... and you will find many items costing 6, 7, 12shs etc..so inasaidia sanaHiyo coin ya shilingi moja inanunua nini hapo kenya?
[emoji16][emoji16]Mbona wakenya hawana na sisi tumenyamaza wala hatujisifii.Ha ha ha kitambulisho cha 20,000/-
can buy a sweet,chewing gum,pilipili moja etc,... and you will find many items costing 6, 7, 8, 12shs etc..so inasaidia sanaHiyo 1 BOB inanunua nini hapo Nairobi? Hili swali nimejiuliza sana. Nauli ya daladala si chini ya 70 BOB. Chai ya bei ya chini ni 40 BOB tena hii labda uipate Muthurwa ama River Road [emoji3]
Anyway, ni mabadiliko mazuri tu. Hongereni majirani zetu.
OK. I will be happy to use the coins next time I visit your city.can buy a sweet,chewing gum,pilipili moja etc,... and you will find many items costing 6, 7, 8, 12shs etc..so inasaidia sana
welcomeOK. I will be happy to use the coins next time I visit your city.
Royco cube moja ni 2.5bobHiyo 1 BOB inanunua nini hapo Nairobi? Hili swali nimejiuliza sana. Nauli ya daladala si chini ya 70 BOB. Chai ya bei ya chini ni 40 BOB tena hii labda uipate Muthurwa ama River Road [emoji3]
Anyway, ni mabadiliko mazuri tu. Hongereni majirani zetu.
Uzuri wa sarafu yoyote ile ni kwenye thamani yake tu, hongera zao naona wenzetu noti kubwa ni 1000, sijui sawa na shilingi ngapi za Tanzania kwa mnaojua.
Kenya pia tuna twiga. Jinamizi weweHee! Kenya ni majizi kweli. Embu ona! Wameshaiba Twiga wetu!
Sawa na shillingi elfu ishirini na tatu za kitanzaniaUzuri wa sarafu yoyote ile ni kwenye thamani yake tu, hongera zao naona wenzetu noti kubwa ni 1000, sijui sawa na shilingi ngapi za Tanzania kwa mnaojua.
Ndogo kabisa ndio hii hapa!Aisee, noti yao kubwa ni 1000? Aisee! Wako vizuri