sarcophagus

Wa ndugu zake wataita Padri ku nyumba ya ule mufu. Padri atafanya sala na kisha wataenda naye kanisani na kule mpadri atafanya sala ya wafu. Kisha padri atabusu mbele Musalaba na kisha Picha ya Ufufuo ya Kristu ile ni pa kifua ya mufu na kila Mukristu atafanya vile. Kisha wataenda ku kaburi na Musalaba itakuwa mbele. Padri atafata Msalaba. Kisha sanduku ya mufu, na nyuma watu Wakristiani wote. Na kule ku kaburi Padri atafanya Ibada moja ya wafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…