Wa ndugu zake wataita Padri ku nyumba ya ule mufu. Padri atafanya sala na kisha wataenda naye kanisani na kule mpadri atafanya sala ya wafu. Kisha padri atabusu mbele Musalaba na kisha Picha ya Ufufuo ya Kristu ile ni pa kifua ya mufu na kila Mukristu atafanya vile. Kisha wataenda ku kaburi na Musalaba itakuwa mbele. Padri atafata Msalaba. Kisha sanduku ya mufu, na nyuma watu Wakristiani wote. Na kule ku kaburi Padri atafanya Ibada moja ya wafu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.