Sarkodie kuachia albamu yake Julai 30 badala ya Julai 9

Sarkodie kuachia albamu yake Julai 30 badala ya Julai 9

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1625483494227.png

Star wa hiphop kutokea nchini #Ghana Sarkodie amesitisha kuachia album yake No Pressure iliyokuwa itoke julai, 9, 2021.

Nyota huyu ametumia ukurasa wake wa instagram kuomba radhi kufuatia taarifa hiyo na kutoa tarehe rasmi ya kuachia album yake hiyo ambayo ni julai, 30, 2021.

Hata hivyo katika taarifa yake hiyo #Sarkodie hakuwaacha hivi hivi mashabiki wake, kwani amewaahidi kuwapa ngoma mpya siku ya ijumaa hii tarehe 9 .
 
Back
Top Bottom