Sarri kaipatia ndoo la Ueropa Chelsea, kashika nambari 3 EPL (champions league spot), na kacheza fainali ya Carabao cup. Despite team kucheza vibaya kwa maoni ya mashabiki wengi, haya bado ni mafanikio makubwa. Kafanya jambo jema mno kuondoka on his own terms badala ya kusubiri afukuzwe kwa aibu maana sometimes hata huelewi Roman Abramovich anataka nini hasa.
Chelsea watafanya kosa kufanya majaribio ya kumpa team Lampard. Kama ni trials, ni bora kujaribu kwa Nuno Espirito Santo. Yule jamaa ni jasiri na keshakuwa tested kwenye league na Chelsea alichezea kichapo pia