Sasa CCM inaendeshwa Kidemokrasia, si rahisi kumfuta mtu uanachama bila kufuata Katiba

Sasa CCM inaendeshwa Kidemokrasia, si rahisi kumfuta mtu uanachama bila kufuata Katiba

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Unajua nyakati zile hata mzee Membe alifukuzwa kibabe zaidi na siyo kwa mujibu wa katiba.

Kwa sasa siyo rahisi kumvua mtu uanachama wake kwa sababu demokrasia imetamalaki ndani ya CCM.

Mtu atavuliwa uanachama kwa mujibu wa vikao "halali" vya chama ndio maana unaona akina komredi Kipepe wanafunguka bila uoga.

Mungu ni mwema wakati wote!
 
Kumbe ni rahisi kuvuliwa nguo na kupakwa kimbo kuliko kuvuliwa uanachama hapo Lumumba?
 
Unajua nyakati zile hata mzee Membe alifukuzwa kibabe zaidi na siyo kwa mujibu wa katiba.

Kwa sasa siyo rahisi kumvua mtu uanachama wake kwa sababu demokrasia imetamalaki ndani ya CCM...
Ukweli ni kuwa ukimvua uanachama bado ataendelea kuwa mbunge kwa uhalali ule ile wa COVID-19.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Unajua nyakati zile hata mzee Membe alifukuzwa kibabe zaidi na siyo kwa mujibu wa katiba.

Kwa sasa siyo rahisi kumvua mtu uanachama wake kwa sababu demokrasia imetamalaki ndani ya CCM.

Mtu atavuliwa uanachama kwa mujibu wa vikao "halali" vya chama ndio maana unaona akina komredi Kipepe wanafunguka bila uoga.

Mungu ni mwema wakati wote!
Relax utakuja muda si mrefu kivingine tena

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Unajua nyakati zile hata mzee Membe alifukuzwa kibabe zaidi na siyo kwa mujibu wa katiba.

Kwa sasa siyo rahisi kumvua mtu uanachama wake kwa sababu demokrasia imetamalaki ndani ya CCM.

Mtu atavuliwa uanachama kwa mujibu wa vikao "halali" vya chama ndio maana unaona akina komredi Kipepe wanafunguka bila uoga.

Mungu ni mwema wakati wote!
Nakuita mara tatu,
johnthebaptist
johnthebaptist
johnthebaptist
Inavyooneka hapa JF, wewe ni muungwana na Mcha Mungu.
Sasa inakuwaje unakuwa mbogamboga!!? Chama Cha Mbogamboga ni mkusanyiko wa uovu wote unaoujua duniani. Ni jambo la ajabu sana kwa mcha Mungu wa Kweli kuwa na ushirika na hicho chama.
 
Back
Top Bottom