johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa hiyo unakiri Jiwe alikuwa _______ Jaza nafasi iliyoachwa wazi.Unajua nyakati zile hata mzee Membe alifukuzwa kibabe zaidi na siyo kwa mujibu wa katiba.
Kwa sasa siyo rahisi kumvua mtu uanachama wake kwa sababu demokrasia imetamalaki ndani ya CCM...
Kama ingekuwa hivyo na nchi sii ingekuwa zaidi ya chama😆Unajua nyakati zile hata mzee Membe alifukuzwa kibabe zaidi na siyo kwa mujibu wa katiba.
Kwa sasa siyo rahisi kumvua mtu uanachama wake kwa sababu demokrasia imetamalaki ndani ya CCM...
Maanake unafurahia kicho cha dikteta?Unajua nyakati zile hata mzee Membe alifukuzwa kibabe zaidi na siyo kwa mujibu wa katiba.
Kwa sasa siyo rahisi kumvua mtu uanachama wake kwa sababu demokrasia imetamalaki ndani ya CCM...
Hata wakati wa Nyerere demokrasia ndani ya chama ilikuwa na changamoto!Maanake unafurahia kicho cha dikteta?
So!Hata wakati wa Nyerere demokrasia ndani ya chama ilikuwa na changamoto!
Usitake kuhalalisha uovu kwa visingizio vyepesi.Hata wakati wa Nyerere demokrasia ndani ya chama ilikuwa na changamoto!
Msalimie Halima Mdee!
Ukweli ni kuwa ukimvua uanachama bado ataendelea kuwa mbunge kwa uhalali ule ile wa COVID-19.Unajua nyakati zile hata mzee Membe alifukuzwa kibabe zaidi na siyo kwa mujibu wa katiba.
Kwa sasa siyo rahisi kumvua mtu uanachama wake kwa sababu demokrasia imetamalaki ndani ya CCM...
Anajiandaa kuja kwenye kitchen part yakoMsalimie Halima Mdee!
Unadhani kwanini Freeman Mbowe alihama CCM?Usitake kuhalalisha uovu kwa visingizio vyepesi.
Huyo ndio kaimu mwenyekiti wa Chadema kwa sasa.Anajiandaa kuja kwenye kitchen part yako
Chadema ilishajifia Kawe!Wanajua hawakushinda kawe.. kurudi kwenye uchaguzi ni kulipoteza jimbo la kawe!
Kwakuwa aliona sio sehemu sahihiUnadhani kwanini Freeman Mbowe alihama CCM?
Relax utakuja muda si mrefu kivingine tenaUnajua nyakati zile hata mzee Membe alifukuzwa kibabe zaidi na siyo kwa mujibu wa katiba.
Kwa sasa siyo rahisi kumvua mtu uanachama wake kwa sababu demokrasia imetamalaki ndani ya CCM.
Mtu atavuliwa uanachama kwa mujibu wa vikao "halali" vya chama ndio maana unaona akina komredi Kipepe wanafunguka bila uoga.
Mungu ni mwema wakati wote!
Nakuita mara tatu,Unajua nyakati zile hata mzee Membe alifukuzwa kibabe zaidi na siyo kwa mujibu wa katiba.
Kwa sasa siyo rahisi kumvua mtu uanachama wake kwa sababu demokrasia imetamalaki ndani ya CCM.
Mtu atavuliwa uanachama kwa mujibu wa vikao "halali" vya chama ndio maana unaona akina komredi Kipepe wanafunguka bila uoga.
Mungu ni mwema wakati wote!