johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Kama walivyofutwa akina Halima Mdee hapo Ufipa!Kumbe Mzee Membe alifutwa uwananchama kinyume cha katiba!
johnthebaptist
Chadema hawachapishi fomu moja ya mgombea urais.Kama walivyofutwa akina Halima Mdee hapo Ufipa!
Kwani enzi zile waliovuliwa uanachama vikao havikuhusika?...Acheni uzushi tunajua nini mnalenga ila hamfanikiwi. Magufuli yupo kwenye mioyo ya watu wala hamuwezi kumtoa.Unajua nyakati zile hata mzee Membe alifukuzwa kibabe zaidi na siyo kwa mujibu wa katiba.
Kwa sasa siyo rahisi kumvua mtu uanachama wake kwa sababu demokrasia imetamalaki ndani ya CCM.
Mtu atavuliwa uanachama kwa mujibu wa vikao "halali" vya chama ndio maana unaona akina komredi Kipepe wanafunguka bila uoga.
Mungu ni mwema wakati wote!
Demokrasia imetamalaki CCM kwasababu wailo kwenye target ni Gwajima, Polepole nk? au hiyo demokrasia ni kwa wote. Tutumie wembe ule ule uliomnyoa Membe kwa hawa ili haki ionekane ikitamalaki.Unajua nyakati zile hata mzee Membe alifukuzwa kibabe zaidi na siyo kwa mujibu wa katiba.
Kwa sasa siyo rahisi kumvua mtu uanachama wake kwa sababu demokrasia imetamalaki ndani ya CCM.
Mtu atavuliwa uanachama kwa mujibu wa vikao "halali" vya chama ndio maana unaona akina komredi Kipepe wanafunguka bila uoga.
Mungu ni mwema wakati wote!