CCM kubalini yaishe japo mnasema Mapinduzi daima, kubalini kwa roho safi kabisa wala msiwe na kinyongo.
Ukiangalia CCM haina tena mvuto kiukweli huku mitaani achana na majukwaa, huku mitaani kila mtu ni CHADEMA mwaka huu.
Ona sasa CCM wamebaki na wasanii kwa kuwavalisha kofia kama kumbukumbu na agano, CCM wanajua bila ya wasanii hawatachua zaidi ya wiki mikutano yao itaanza kusinyaa na kuonekana ya ajabu, na wajaribu kufanya kampeni bila ya tamasha la bure, tuone kama wenyeviti nakuhakikishia watabakia na meza tu.
Mziki wa Chadema sasa unazidi kutapakaa nchi nzima kwa kasi ya ajabu, tunaona tume ya uchaguzi NEC inavyoanza kuwa kwenye taharuki kubwa kwani upepo umewabadilikia wanaona wazi kabisa CCM wanazidi kutengwa ikiwa ndio kwanza thekuthi moja ya kampeni inamaliza na wao weshafanya manyago.
Kampeni za Tundu Lissu zimeshaiteka nusu narobo ya ya Watanzania na kila anapokanyaga CCM wanazamishwa hilo lipo wazi,hatumii elimu ya wakata viuno wanaoletwa kwa makundi kwenye kampeni za Mgombea uraisi wa CCM wala hatumii malori mabasi na bodaboda wala hatoi petroli na dizeli bure kwa vyombo vya aina hio vinavyohudhuria, bali matumaini ya WaTanzania na kutaka kumsikiliza Rais mtarajiwa.
Tayari na ni wazi kabisa waTanzania wameshawekeza matumaini yao kwa Tundu Lissu, wamebakia wananchi wachache tu waliopo CCM ambao nao hawachezi tena mbali na matumaini yanayohubiriwa na kujengwa na CHADEMA
CCM kwa sasa mnajihangaisha bure tu tunaona nguvu mlizobaki nazo ni kuwavalisha kofia wakata viuno ambao hata wao wanajua wapi pa kuipeleka kura yao, hilo lipo wazi kwani nao wanawachukia kuliko maelezo, msizani wana maradhi ya kusahau, wasanii endeleeni na kuwatumbuiza CCM tupo pamoja kuimaliza kwenye sanduku la kura.
Ukiangalia CCM haina tena mvuto kiukweli huku mitaani achana na majukwaa, huku mitaani kila mtu ni CHADEMA mwaka huu.
Ona sasa CCM wamebaki na wasanii kwa kuwavalisha kofia kama kumbukumbu na agano, CCM wanajua bila ya wasanii hawatachua zaidi ya wiki mikutano yao itaanza kusinyaa na kuonekana ya ajabu, na wajaribu kufanya kampeni bila ya tamasha la bure, tuone kama wenyeviti nakuhakikishia watabakia na meza tu.
Mziki wa Chadema sasa unazidi kutapakaa nchi nzima kwa kasi ya ajabu, tunaona tume ya uchaguzi NEC inavyoanza kuwa kwenye taharuki kubwa kwani upepo umewabadilikia wanaona wazi kabisa CCM wanazidi kutengwa ikiwa ndio kwanza thekuthi moja ya kampeni inamaliza na wao weshafanya manyago.
Kampeni za Tundu Lissu zimeshaiteka nusu narobo ya ya Watanzania na kila anapokanyaga CCM wanazamishwa hilo lipo wazi,hatumii elimu ya wakata viuno wanaoletwa kwa makundi kwenye kampeni za Mgombea uraisi wa CCM wala hatumii malori mabasi na bodaboda wala hatoi petroli na dizeli bure kwa vyombo vya aina hio vinavyohudhuria, bali matumaini ya WaTanzania na kutaka kumsikiliza Rais mtarajiwa.
Tayari na ni wazi kabisa waTanzania wameshawekeza matumaini yao kwa Tundu Lissu, wamebakia wananchi wachache tu waliopo CCM ambao nao hawachezi tena mbali na matumaini yanayohubiriwa na kujengwa na CHADEMA
CCM kwa sasa mnajihangaisha bure tu tunaona nguvu mlizobaki nazo ni kuwavalisha kofia wakata viuno ambao hata wao wanajua wapi pa kuipeleka kura yao, hilo lipo wazi kwani nao wanawachukia kuliko maelezo, msizani wana maradhi ya kusahau, wasanii endeleeni na kuwatumbuiza CCM tupo pamoja kuimaliza kwenye sanduku la kura.