Sasa CHADEMA ni Chama Tawala, ni suala la muda tu - ukweli ndio huo

Sasa CHADEMA ni Chama Tawala, ni suala la muda tu - ukweli ndio huo

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
CCM kubalini yaishe japo mnasema Mapinduzi daima, kubalini kwa roho safi kabisa wala msiwe na kinyongo.

Ukiangalia CCM haina tena mvuto kiukweli huku mitaani achana na majukwaa, huku mitaani kila mtu ni CHADEMA mwaka huu.

Ona sasa CCM wamebaki na wasanii kwa kuwavalisha kofia kama kumbukumbu na agano, CCM wanajua bila ya wasanii hawatachua zaidi ya wiki mikutano yao itaanza kusinyaa na kuonekana ya ajabu, na wajaribu kufanya kampeni bila ya tamasha la bure, tuone kama wenyeviti nakuhakikishia watabakia na meza tu.

Mziki wa Chadema sasa unazidi kutapakaa nchi nzima kwa kasi ya ajabu, tunaona tume ya uchaguzi NEC inavyoanza kuwa kwenye taharuki kubwa kwani upepo umewabadilikia wanaona wazi kabisa CCM wanazidi kutengwa ikiwa ndio kwanza thekuthi moja ya kampeni inamaliza na wao weshafanya manyago.

Kampeni za Tundu Lissu zimeshaiteka nusu narobo ya ya Watanzania na kila anapokanyaga CCM wanazamishwa hilo lipo wazi,hatumii elimu ya wakata viuno wanaoletwa kwa makundi kwenye kampeni za Mgombea uraisi wa CCM wala hatumii malori mabasi na bodaboda wala hatoi petroli na dizeli bure kwa vyombo vya aina hio vinavyohudhuria, bali matumaini ya WaTanzania na kutaka kumsikiliza Rais mtarajiwa.

Tayari na ni wazi kabisa waTanzania wameshawekeza matumaini yao kwa Tundu Lissu, wamebakia wananchi wachache tu waliopo CCM ambao nao hawachezi tena mbali na matumaini yanayohubiriwa na kujengwa na CHADEMA

CCM kwa sasa mnajihangaisha bure tu tunaona nguvu mlizobaki nazo ni kuwavalisha kofia wakata viuno ambao hata wao wanajua wapi pa kuipeleka kura yao, hilo lipo wazi kwani nao wanawachukia kuliko maelezo, msizani wana maradhi ya kusahau, wasanii endeleeni na kuwatumbuiza CCM tupo pamoja kuimaliza kwenye sanduku la kura.
 
Tunaona manyumbu wanavyovalishwa kofia, hawa ndio Baba levo aliwaita kumbe ni ukweli mtupu.
 
Umekunywa konyagi ukachanganya na Bangi asubuhii mangi!

Hovyo kabisa wewe!
 

Mazuri Maelfu Kwa kosa moja?

Tutazingatia wingi wa mazuri yake, nendeni mkamwambie mwenye urai Pacha kwamba, hatumtaki mtu ambaye anamashaka na nchi yake!

Kwamba haiamini? Kwamba anaweza kufanya atakavyo na kisha kukimbilia nchi yake mpaya siyo?
 
Issue ya masheikh wa uwamsho inaenda kumpa kura zote za waislamu safi.
 
Kwa kuzingatia falsafa za sun tzu Kuna uwezekano mkubwa fikra zako za ushind zikawa hewa.
 
Yaani tuwakabidhi nchi ninyi hivihivi tutaona,iwe jua iwe mvua haitatokea kitu cha hivyo, kipi kitachoshindikana huyu lisu ni takataka tu, anajiaminisha kuwa kitawaka mwambieni ajipige dole ajinuse.
Mwaka huu tunakinukisha tu nyie jaribuni kuleta mchezo muone tutawachinja chinja Kama kuku.
 
CCM kubalini yaishe japo mnasema Mapinduzi daima, kubalini kwa roho safi kabisa wala msiwe na kinyongo.

Ukiangalia CCM haina tena mvuto kiukweli huku mitaani achana na majukwaa, huku mitaani kila mtu ni Chadema mwaka huu.

Ona sasa CCM wamebaki na wasanii kwa kuwavalisha kofia kama kumbukumbu na agano, CCM wanajua bila ya wasanii hawatachua zaidi ya wiki mikutano yao itaanza kusinyaa na kuonekana ya ajabu, na wajaribu kufanya kampeni bila ya tamasha la bure, tuone kama wenyeviti nakuhakikishia watabakia na meza tu.

Mziki wa Chadema sasa unazidi kutapakaa nchi nzima kwa kasi ya ajabu, tunaona tume ya uchaguzi NEC inavyoanza kuwa kwenye taharuki kubwa kwani upepo umewabadilikia wanaona wazi kabisa CCM wanazidi kutengwa ikiwa ndio kwanza thekuthi moja ya kampeni inamaliza na wao weshafanya manyago.

Kampeni za Tundu Lissu zimeshaiteka nusu narobo ya ya Watanzania na kila anapokanyaga CCM wanazamishwa hilo lipo wazi,hatumii elimu ya wakata viuno wanaoletwa kwa makundi kwenye kampeni za Mgombea uraisi wa CCM wala hatumii malori mabasi na bodaboda wala hatoi petroli na dizeli bure kwa vyombo vya aina hio vinavyohudhuria, bali matumaini ya WaTanzania na kutaka kumsikiliza Rais mtarajiwa.

Tayari na ni wazi kabisa waTanzania wameshawekeza matumaini yao kwa Tundu Lissu, wamebakia wananchi wachache tu waliopo CCM ambao nao hawachezi tena mbali na matumaini yanayohubiriwa na kujengwa na Chadema.

CCM kwa sasa mnajihangaisha bure tu tunaona nguvu mlizobaki nazo ni kuwavalisha kofia wakata viuno ambao hata wao wanajua wapi pa kuipeleka kura yao, hilo lipo wazi kwani nao wanawachukia kuliko maelezo, msizani wana maradhi ya kusahau, wasanii endeleeni na kuwatumbuiza CCM tupo pamoja kuimaliza kwenye sanduku la kura.
Duh
Kweli mmepoteza dira
 
Back
Top Bottom