Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Sisi watanzania tutamchagua!Na kama sanduku la kura halitaheshimiwa basi tuko tayari kwa lolote!Yaani hili jamaa limeaminishwa kwamba nenda tutakuja kukusaidia,linaongea kama lina majeshi mpe salam yeye ni kama punje ya sukari kwenye ndoo ya maji.
Hahaha ni nchi ipi itakayokabidhiwa kwa chama kilichoshindwa kujenga ofisi ya chama kwa miaka 30 sasa.
Hata mimi nimeota kama niko kwenye starehe fulani Maisha ni bomba, Lisu na JPM wananipigia magoti, ilekuamka nikajikuta bado nipo bado kwenye utawala wa JPM na kazi zinaendelea, na Lisu naambiwa kaenda kusoma ulaya political science, na jinsi ya kuwasikiliza wenzakeCCM kubalini yaishe japo mnasema Mapinduzi daima, kubalini kwa roho safi kabisa wala msiwe na kinyongo.
Ukiangalia CCM haina tena mvuto kiukweli huku mitaani achana na majukwaa, huku mitaani kila mtu ni Chadema mwaka huu.
Ona sasa CCM wamebaki na wasanii kwa kuwavalisha kofia kama kumbukumbu na agano, CCM wanajua bila ya wasanii hawatachua zaidi ya wiki mikutano yao itaanza kusinyaa na kuonekana ya ajabu, na wajaribu kufanya kampeni bila ya tamasha la bure, tuone kama wenyeviti nakuhakikishia watabakia na meza tu.
Mziki wa Chadema sasa unazidi kutapakaa nchi nzima kwa kasi ya ajabu, tunaona tume ya uchaguzi NEC inavyoanza kuwa kwenye taharuki kubwa kwani upepo umewabadilikia wanaona wazi kabisa CCM wanazidi kutengwa ikiwa ndio kwanza thekuthi moja ya kampeni inamaliza na wao weshafanya manyago.
Kampeni za Tundu Lissu zimeshaiteka nusu narobo ya ya Watanzania na kila anapokanyaga CCM wanazamishwa hilo lipo wazi,hatumii elimu ya wakata viuno wanaoletwa kwa makundi kwenye kampeni za Mgombea uraisi wa CCM wala hatumii malori mabasi na bodaboda wala hatoi petroli na dizeli bure kwa vyombo vya aina hio vinavyohudhuria, bali matumaini ya WaTanzania na kutaka kumsikiliza Rais mtarajiwa.
Tayari na ni wazi kabisa waTanzania wameshawekeza matumaini yao kwa Tundu Lissu, wamebakia wananchi wachache tu waliopo CCM ambao nao hawachezi tena mbali na matumaini yanayohubiriwa na kujengwa na Chadema.
CCM kwa sasa mnajihangaisha bure tu tunaona nguvu mlizobaki nazo ni kuwavalisha kofia wakata viuno ambao hata wao wanajua wapi pa kuipeleka kura yao, hilo lipo wazi kwani nao wanawachukia kuliko maelezo, msizani wana maradhi ya kusahau, wasanii endeleeni na kuwatumbuiza CCM tupo pamoja kuimaliza kwenye sanduku la kura.
Kofia zimevaliwa toka 1995 mfumo wa vyama vingi ulipoanza na CCM imeendelea kushinda kwa ushindi mnono. Mwaka huu kofia zinavaliwa na ushindi ni wa kimbunga.
Mazuri Maelfu Kwa kosa moja?
Tutazingatia wingi wa mazuri yake, nendeni mkamwambie mwenye urai Pacha kwamba, hatumtaki mtu ambaye anamashaka na nchi yake!
Kwamba haiamini? Kwamba anaweza kufanya atakavyo na kisha kukimbilia nchi yake mpaya siyo?
Ukweli mtupuCCM kubalini yaishe japo mnasema Mapinduzi daima, kubalini kwa roho safi kabisa wala msiwe na kinyongo.
Ukiangalia CCM haina tena mvuto kiukweli huku mitaani achana na majukwaa, huku mitaani kila mtu ni CHADEMA mwaka huu.
Ona sasa CCM wamebaki na wasanii kwa kuwavalisha kofia kama kumbukumbu na agano, CCM wanajua bila ya wasanii hawatachua zaidi ya wiki mikutano yao itaanza kusinyaa na kuonekana ya ajabu, na wajaribu kufanya kampeni bila ya tamasha la bure, tuone kama wenyeviti nakuhakikishia watabakia na meza tu.
Mziki wa Chadema sasa unazidi kutapakaa nchi nzima kwa kasi ya ajabu, tunaona tume ya uchaguzi NEC inavyoanza kuwa kwenye taharuki kubwa kwani upepo umewabadilikia wanaona wazi kabisa CCM wanazidi kutengwa ikiwa ndio kwanza thekuthi moja ya kampeni inamaliza na wao weshafanya manyago.
Kampeni za Tundu Lissu zimeshaiteka nusu narobo ya ya Watanzania na kila anapokanyaga CCM wanazamishwa hilo lipo wazi,hatumii elimu ya wakata viuno wanaoletwa kwa makundi kwenye kampeni za Mgombea uraisi wa CCM wala hatumii malori mabasi na bodaboda wala hatoi petroli na dizeli bure kwa vyombo vya aina hio vinavyohudhuria, bali matumaini ya WaTanzania na kutaka kumsikiliza Rais mtarajiwa.
Tayari na ni wazi kabisa waTanzania wameshawekeza matumaini yao kwa Tundu Lissu, wamebakia wananchi wachache tu waliopo CCM ambao nao hawachezi tena mbali na matumaini yanayohubiriwa na kujengwa na CHADEMA
CCM kwa sasa mnajihangaisha bure tu tunaona nguvu mlizobaki nazo ni kuwavalisha kofia wakata viuno ambao hata wao wanajua wapi pa kuipeleka kura yao, hilo lipo wazi kwani nao wanawachukia kuliko maelezo, msizani wana maradhi ya kusahau, wasanii endeleeni na kuwatumbuiza CCM tupo pamoja kuimaliza kwenye sanduku la kura.
Nani alikulazimisha uwe na cheti feki?Watanzania tunataka haki uhuru na maendeleo ya wananchi siyo orodha ya mazuri ambayo hayagusi maisha yetu huku tunanyanyaswa tunatishwa hatuwezi kusema chochote sababu ya vitisho kila mahali hiyo orodha yenu ya mazuri iwasaifie kwenyebkumbukumbu zenu watanzania tumewachoka
CCM kubalini yaishe japo mnasema Mapinduzi daima, kubalini kwa roho safi kabisa wala msiwe na kinyongo.
Ukiangalia CCM haina tena mvuto kiukweli huku mitaani achana na majukwaa, huku mitaani kila mtu ni CHADEMA mwaka huu.
Ona sasa CCM wamebaki na wasanii kwa kuwavalisha kofia kama kumbukumbu na agano, CCM wanajua bila ya wasanii hawatachua zaidi ya wiki mikutano yao itaanza kusinyaa na kuonekana ya ajabu, na wajaribu kufanya kampeni bila ya tamasha la bure, tuone kama wenyeviti nakuhakikishia watabakia na meza tu.
Mziki wa Chadema sasa unazidi kutapakaa nchi nzima kwa kasi ya ajabu, tunaona tume ya uchaguzi NEC inavyoanza kuwa kwenye taharuki kubwa kwani upepo umewabadilikia wanaona wazi kabisa CCM wanazidi kutengwa ikiwa ndio kwanza thekuthi moja ya kampeni inamaliza na wao weshafanya manyago.
Kampeni za Tundu Lissu zimeshaiteka nusu narobo ya ya Watanzania na kila anapokanyaga CCM wanazamishwa hilo lipo wazi,hatumii elimu ya wakata viuno wanaoletwa kwa makundi kwenye kampeni za Mgombea uraisi wa CCM wala hatumii malori mabasi na bodaboda wala hatoi petroli na dizeli bure kwa vyombo vya aina hio vinavyohudhuria, bali matumaini ya WaTanzania na kutaka kumsikiliza Rais mtarajiwa.
Tayari na ni wazi kabisa waTanzania wameshawekeza matumaini yao kwa Tundu Lissu, wamebakia wananchi wachache tu waliopo CCM ambao nao hawachezi tena mbali na matumaini yanayohubiriwa na kujengwa na CHADEMA
CCM kwa sasa mnajihangaisha bure tu tunaona nguvu mlizobaki nazo ni kuwavalisha kofia wakata viuno ambao hata wao wanajua wapi pa kuipeleka kura yao, hilo lipo wazi kwani nao wanawachukia kuliko maelezo, msizani wana maradhi ya kusahau, wasanii endeleeni na kuwatumbuiza CCM tupo pamoja kuimaliza kwenye sanduku la kura.
Inatawala nini? Nyie endeleeni kujitoa ufahamu tu hakuna nchi ya kufanyia majaribio kwenye u ubunge tumeshawapima hamtoshi sasa urais tuwape kweli? Hapana jiimarisheni kwanza ndio pengine mtaweza kutushawishi lakini kwa sasa HAPANA.CCM kubalini yaishe japo mnasema Mapinduzi daima, kubalini kwa roho safi kabisa wala msiwe na kinyongo.
Ukiangalia CCM haina tena mvuto kiukweli huku mitaani achana na majukwaa, huku mitaani kila mtu ni CHADEMA mwaka huu.
Ona sasa CCM wamebaki na wasanii kwa kuwavalisha kofia kama kumbukumbu na agano, CCM wanajua bila ya wasanii hawatachua zaidi ya wiki mikutano yao itaanza kusinyaa na kuonekana ya ajabu, na wajaribu kufanya kampeni bila ya tamasha la bure, tuone kama wenyeviti nakuhakikishia watabakia na meza tu.
Mziki wa Chadema sasa unazidi kutapakaa nchi nzima kwa kasi ya ajabu, tunaona tume ya uchaguzi NEC inavyoanza kuwa kwenye taharuki kubwa kwani upepo umewabadilikia wanaona wazi kabisa CCM wanazidi kutengwa ikiwa ndio kwanza thekuthi moja ya kampeni inamaliza na wao weshafanya manyago.
Kampeni za Tundu Lissu zimeshaiteka nusu narobo ya ya Watanzania na kila anapokanyaga CCM wanazamishwa hilo lipo wazi,hatumii elimu ya wakata viuno wanaoletwa kwa makundi kwenye kampeni za Mgombea uraisi wa CCM wala hatumii malori mabasi na bodaboda wala hatoi petroli na dizeli bure kwa vyombo vya aina hio vinavyohudhuria, bali matumaini ya WaTanzania na kutaka kumsikiliza Rais mtarajiwa.
Tayari na ni wazi kabisa waTanzania wameshawekeza matumaini yao kwa Tundu Lissu, wamebakia wananchi wachache tu waliopo CCM ambao nao hawachezi tena mbali na matumaini yanayohubiriwa na kujengwa na CHADEMA
CCM kwa sasa mnajihangaisha bure tu tunaona nguvu mlizobaki nazo ni kuwavalisha kofia wakata viuno ambao hata wao wanajua wapi pa kuipeleka kura yao, hilo lipo wazi kwani nao wanawachukia kuliko maelezo, msizani wana maradhi ya kusahau, wasanii endeleeni na kuwatumbuiza CCM tupo pamoja kuimaliza kwenye sanduku la kura.
"Hatukutaki " walisikika wapiga kura wa mkoa fulani wakishout.Chadomo bana! Mnafikili kuchukua nchi ni kama kuokota dodo chini ya muembe!
Hii ndio shida ya misukule ya lumumba akili zifuriKawaida ya nyumbu kujiona salama mbele ya simba.
Pia sio vibaya kumpa moyo mgonjwa wa ukimwi so endeleeni kuota.