kuonewa mumeonewa lakini mngepita mngetuimba. kaeni kwa kutulia.
Baadhi ya sheria za soka ni za hovyo.Kuepusha haya wenzetu wana GOAL LINE TECHNOLOGY
Kumbe Caf ni Kama ndondo cup ya Manzese, kwanini refa na wasaidizi wamekataa goli la wazi wakati mashabiki tumeona?
lile ni clear goal basi tu
Hahaaaaakuonewa mumeonewa lakini mngepita mngetuimba. kaeni kwa kutulia.
Aaaahaaaakuonewa mumeonewa lakini mngepita mngetuimba. kaeni kwa kutulia.