πkuonewa mumeonewa lakini mngepita mngetuimba. kaeni kwa kutulia.
Tuliza mfuniko wa haja kubwa... una lesen/Badge ya FIFA?Watu wa VAR hovyo kabisa , sijaona hata umuhimu wa VAR kabisa
Wanalipwa kwa "kuihujumu" Yanga, aka Lialia FC. Wewe upo Tzumetumbua macho kweye screen, unawakosoa CAR waliopo South? Mbweha kabisa wewe!
uto itakuua joblessπ
Baadhi ya sheria za soka ni za hovyo.
Maelekezo ya motsepeKumbe Caf ni Kama ndondo cup ya manzese , kwanini refa na wasaidizi wamekataa goli la wazi wakati mashabiki tumeona ?
Dhurma ya wazi imefanyika, maana hata refa wa kati hakutaka kwenda kuijiridhisha kwenye screen. Ni wazi timu ya raisi ya CAF imesitiliwa.Labda kwenye angle ile ya ndani ndani ya nyuma ya goli kwa mbaaali mpira uligusa mstari.
Hujui kandanda wewe piga kimya acha kulia lia