Sasa hawaungi juhudi bali wanarudi " Nyumbani kwa Mama" maelfu wamegoma kumwimbia bwana ugenini yumo Mwalimu!

Sasa hawaungi juhudi bali wanarudi " Nyumbani kwa Mama" maelfu wamegoma kumwimbia bwana ugenini yumo Mwalimu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wahamiaji watokao Chadema kwenda CCM sasa wana slogan nyingine, hawasemi wanaunga juhudi bali " Wanarudi nyumbani kwa Mama"

Chadema wasipokaa sawa mama atasepa na kijiji kwa sababu kuna maelfu wamegoma kumwimbia bwana ugenini na sasa wako njiani kurudi nyumbani.

Pale juu anaweza kubaki Mbowe na Tundu Lisu tu na hata kamati kuu yaweza kubakia na wateule wachache sana.

Muda utaongea.

Kazi Iendelee!
 
Wahamiaji watokao Chadema kwenda CCM sasa wana slogan nyingine, hawasemi wanaunga juhudi bali " Wanarudi nyumbani kwa Mama"

Chadema wasipokaa sawa mama atasepa na kijiji kwa sababu kuna maelfu wamegoma kumwimbia bwana ugenini na sasa wako njiani kurudi nyumbani.

Pale juu anaweza kubaki Mbowe na Tundu Lisu tu na hata kamati kuu yaweza kubakia na wateule wachache sana.

Muda utaongea.

Kazi Iendelee!
Hivi kwani CHADEMA bado ipo?
 
Wahamiaji watokao Chadema kwenda CCM sasa wana slogan nyingine, hawasemi wanaunga juhudi bali " Wanarudi nyumbani kwa Mama"

Chadema wasipokaa sawa mama atasepa na kijiji kwa sababu kuna maelfu wamegoma kumwimbia bwana ugenini na sasa wako njiani kurudi nyumbani.

Pale juu anaweza kubaki Mbowe na Tundu Lisu tu na hata kamati kuu yaweza kubakia na wateule wachache sana.

Muda utaongea.

Kazi Iendelee!
Jifunze kuweka akiba ya maneno
 
Wahamiaji watokao Chadema kwenda CCM sasa wana slogan nyingine, hawasemi wanaunga juhudi bali " Wanarudi nyumbani kwa Mama"

Chadema wasipokaa sawa mama atasepa na kijiji kwa sababu kuna maelfu wamegoma kumwimbia bwana ugenini na sasa wako njiani kurudi nyumbani.

Pale juu anaweza kubaki Mbowe na Tundu Lisu tu na hata kamati kuu yaweza kubakia na wateule wachache sana.

Muda utaongea.

Kazi Iendelee!
Joni ikiwa hivyo ni kuwa watakuwa wameamua kutumia haki yao ya msingi ya uhuru wa maoni,hata hilo hutaki,najua kwa sasa itakuwa ni kwa hiyari yao na sii kwa mashinikizo na vitisho.
 
chadema imekwisha kwa kweli kwanza hawana sera hawana la kuwaambia wananchi wewe fikiria karibu miezi miwili hawatangazi sera zao wao wana deal na mambo mawili tu kumkkashifu marehemu na kupiga kelele za kina mdee halafu mje tena kutuomba kura kafieni mbele huko
 
chadema imekwisha kwa kweli kwanza hawana sera hawana la kuwaambia wananchi wewe fikiria karibu miezi miwili hawatangazi sera zao wao wana deal na mambo mawili tu kumkkashifu marehemu na kupiga kelele za kina mdee halafu mje tena kutuomba kura kafieni mbele huko0

[/QUOTE )
Kwani tayari usaili ulisha fanyika kwa ajili ya utetezi na uenezi wa chama kijani pale mtaa wa kijani au harakati hizi ni za kupima upepo ili kujua nguvu ya chama kwa sasa.
 
Kati ya watu wanafiki na watembea na upepo ni wewe!

Kutoka maendeleo hayana chama hadi kazi iendelee huoni aibu?

Naomba yale maandamano mliyopanga kufanya mkitaka Jiwe aondolewe ukomo wa utawala myafanye kwanini myasitishe?
Wewe endelea kumtakana Jiwe wenzako J J Mnyika na Salum Mwalimu wameingia Dodoma na Atcl muda huu!
 
Wahamiaji watokao Chadema kwenda CCM sasa wana slogan nyingine, hawasemi wanaunga juhudi bali " Wanarudi nyumbani kwa Mama"

Chadema wasipokaa sawa mama atasepa na kijiji kwa sababu kuna maelfu wamegoma kumwimbia bwana ugenini na sasa wako njiani kurudi nyumbani.

Pale juu anaweza kubaki Mbowe na Tundu Lisu tu na hata kamati kuu yaweza kubakia na wateule wachache sana.

Muda utaongea.

Kazi Iendelee!
Ni nyumbu tu atakayebaki chadema
Wembe ni uleule.

Lazima udikteta wa mwenyekiti wa milele mbowe ukomeshwe
 
Kwa matusi Yale ya vijana wa chadema, mwenye akili timamu hawezi kaa huko, na Kwa uwongo ule wa M/kiti Chama, huwezi kaa huko, Tuambizaneni ukweli, Mtu umekunywa gongo, imekuzidi, umedondoka, akili zinakurudia, mara unaropoka tu eti ushalama waliniteka na kunipiga

Unajiuliza, wewe ni mtu mkubwa na mwenye ushawishi mkubwa, inakuwaje unaamua kuwachonganisha wananchi na serikali Yao??

Pombe zako ndio ziwe chanzo cha machafuko Kweli!!! Ki ukweli, mtu mwenye akili timamu, hawezi kukaa meza moja na Wembo na Yule mbeligiji, ni wachonganishi Sana hao watu
 
Wahamiaji watokao Chadema kwenda CCM sasa wana slogan nyingine, hawasemi wanaunga juhudi bali " Wanarudi nyumbani kwa Mama"

Chadema wasipokaa sawa mama atasepa na kijiji kwa sababu kuna maelfu wamegoma kumwimbia bwana ugenini na sasa wako njiani kurudi nyumbani.

Pale juu anaweza kubaki Mbowe na Tundu Lisu tu na hata kamati kuu yaweza kubakia na wateule wachache sana.

Muda utaongea.

Kazi Iendelee!
Bora warudi tu ....!!
 
Wahamiaji watokao Chadema kwenda CCM sasa wana slogan nyingine, hawasemi wanaunga juhudi bali " Wanarudi nyumbani kwa Mama"

Chadema wasipokaa sawa mama atasepa na kijiji kwa sababu kuna maelfu wamegoma kumwimbia bwana ugenini na sasa wako njiani kurudi nyumbani.

Pale juu anaweza kubaki Mbowe na Tundu Lisu tu na hata kamati kuu yaweza kubakia na wateule wachache sana.

Muda utaongea.

Kazi Iendelee!
Kama hiyo inaweza kusaidia kuifanya Tanzania kuwa kama Marekani basi na iwe hivyo wote waondoke chama kikuu cha upinzani kiwe ni TADEA cha Shibuda.
 
Back
Top Bottom