Sasa hivi hata ukitaka kuposti picha ya upinde wa mvua unajiuliza maana wananzego wataanza kuunganisha dot

Sasa hivi hata ukitaka kuposti picha ya upinde wa mvua unajiuliza maana wananzego wataanza kuunganisha dot

Sasa mzee si uposti kitu kingine? Unataka kupost liupinde la nini tena aisee

Hebu jiweke mbali na hayo makitu, unatutisha hata kuyawaza waza yaani
 
Back
Top Bottom