Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Kuna wakati ulipokuwa unakuwa hata ukiona kadi ambayo mama yako bi amealikwa mahala binfasi bila baba unaiona imeandika "mrs grace mboma" (mfano). Hilo mboma ni jina la baba yako.
Sasa sijui ni imeshakuwa old-fashioned au ndio hio feminism imeshagonga hodi.😂
Sasa sijui ni imeshakuwa old-fashioned au ndio hio feminism imeshagonga hodi.😂