Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah...siyo Tajiri bana.... ni mchapakazi[emoji4]Siku hizi ukinywa bia unaonekana ni tajiri
Sio kweli mkuu, hebu jiulize; kilo ya sukari shilingi ngapi (mwaka jana ilikuwa shilingi ngapi )?, Nauli ya daladala ni shilingi ngapi? Nauli ya bodaboda imepungua? Kilo ya nyama sasa ni shilingi ngapi? Mwaka jana ilikuwa shilingi ngapi?Haya maisha haya kweli ni Ups and Down, siku za nyuma elfu kumi ilikuwa inakwisha haraka sana ndani ya muda mfupi, leo hii elfu kumi ni pesa moja tamu kweli...ukata sometimes inasaidia ati wakuu?