Sasa hivi watumishi wa dini zote wanatumia mafuta/maji, mashambulizi ni kwa aliyefanikiwa tu

Sasa hivi watumishi wa dini zote wanatumia mafuta/maji, mashambulizi ni kwa aliyefanikiwa tu

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Wasabato wachungaji wana vichupa vya mafuta, na muongozo wao unawataka hivyo hasa kwa wagonjwa mahututi. Huwezi kuwasikia wanasema na Wasabato wengi hawajui kwa sababu hawana biasharisha na hutumia mara chache sana.

Walokole hawa ndio kwao. Kwa sababu kule kipaumbele ni sadaka yameungamanishwa na sadaka. Ila ambao hawajafanikiwa wanashambulia waliofanikiwa kwa sababu za wivu tu.

Wakatoriki wao maji ya upako wanqita ya Baraka. Ukeinde Ubungo Riverside ya Fadhq Nkwela ukitupiwa hayo maji kama unapepo lazima ugalegale kama kambare na litakutoka.

Wqislam hawa nimeshuhdia mwenyewe sheikh akigawa maji ya zamzam na watu kuanza kulipuka mapepo uwanjani. Kisha anashusha maboxi makubwa na kuuza vichupa kwa 2000tsh kila kimoja.

Maoni.
Nchi inamambo mengi, haya ya vifaa tiba vya kiroho tuyaache na tusiwaonee wivu yaliyowafanikisha. Tusiwaite matapeli maana watu wanaenda kwa hiyari, na hata wanakotoka yapo sema ni butu au hayajawezeshwa na nguvu za nuru au giza.

Ni hayo tu wakuu mbalimbali.

Mtumishi Matunduizi.
 
Wasabato wachungaji wanavichupa vya mafuta, na muongozo wao unawataka hivyo hasa kwa wagonjwa mahututi. Huwezi kuwasikia wanasema na wasabato wengi hawajui kwa sababu hawayabiasharisha na hutumia mara chache sana.

Walokole hawa ndio kwao. Kwa sababu kule kipaumbele ni sadaka yameungamanishwa na sadaka. Ila ambao hawajafanikiwa wanashambulia waliofanikiwa kwa sababu za wivu tu.

Wakatoriki wao maji ya upako wanqita ya Baraka. Ukeinde ubungo Riverside ya Fadhq Nkwela ukitupiwa hayo maji kama unapepo lazima ugalegale kama kambare na litakutoka.

Wqislam hawa nimeshuhdia mwenyewe sheikh akigawa maji ya zamzam na watu kuanza kulipuka mapepo uwanjani. Kisha anashusha maboxi makubwa na kuuza vichupa kwa 2000tsh kila kimoja.


Maoni.
Nchi inamambo mengi, haya ya vifaa tipa vya kiroho tuyaache na tusiwaonee wivu yaliyowafanikisha. Tusiwaite matapeli maana watu wanaenda kwa hiyari, na hata wanakotoka yapo sema ni butu au hayajawezeshwa na nguvu za nuru au giza......hi kitendo cha kupaka watu maji ya upako, majivu, kulishwa vimikate ni vitendo vya ushirikina kabisa.


Ni hayo tu wakuu mbalimbali.

Mtumishi Matunduizi
Dini ya ukristo kwa % kubwa haina tofauti na dini za uganga wa jadi au ushirikina kuanzia vitendo na Imani zao......
 
Dini ya ikristo kwa % kubwa haina tofauti na dini za uganga wa jadi ushirikina kuanzia vitendo na Imani yao.
Watu wa imani wote sio tu wa kristo wakianza kupungua imani kwa Mungu wanaanza kujiingiza kwenye imani zao za asili. Dini inabaki kama vaz8 la kufichiq haibu ili jamii isiwaelewe vibaya.
 
Watu wa imani wote sio tu wa kristo wakianza kupungua imani kwa Mungu wanaanza kujiingiza kwenye imani zao za asili. Dini inabaki kama vaz8 la kufichiq haibu ili jamii isiwaelewe vibaya.
Lakini kwa wakristo ushirikina umekua dhahiri zaidi, eti kukanyaga maji ya baraka, kupaka watu majivu kulishwa vimkate eti ni mwili wa Yesu nk, hiyo haiwezi kua sehemu ya ibaada.
 
Dini ya Ukristo kuna kupasua nazi?
Kuna Pete za dhahabu?
Kuna kuwasiliana na majini?
Hao ni wa piga pesa wa hunu sio sehemu ya ibaada ya uislamu mpaka mskitini wanapaogopa .
 
Lakini kwa wakristo ushirikina umekua dhahiri zaidi, eti kukanyaga maji ya baraka, kupaka watu majivu kulishwa vimlate nk, hiyo haiwezi kua sehemu ya ibaada.
Huko kuna ushirikina unaofanywa kwa background. Mtu asiyejua qnaweza kuponywa kishirikina bila kujua akajua ni Mungu, au Mungu kwa hurumq zake akaamua kumpa ofa ya uponywaji hata kama nabii ni mchawi. Kule kosa lilianza kusema kuna majini wasafi. Hapo ukijichanganya kwa sheh mganga unapoga shiriki moja kwa moja bila mtu kujificha.
 
Sio dini ni washirikina wanaojificha katika kivuli cha dini , ni hatari sana.
 
Huko kuna ushirikina unaofanywa kwa background. Mtu asiyejua qnaweza kuponywa kishirikina bila kujua akajua ni Mungu, au Mungu kwa hurumq zake akaamua kumpa ofa ya uponywaji hata kama nabii ni mchawi. Kule kosa lilianza kusema kuna majini wasafi. Hapo ukijichanganya kwa sheh mganga unapoga shiriki moja kwa moja bila mtu kujificha.
Mkuu hao wakina sh Yahaya nawezie ni wapiga pesa hata mskitini wanatengwa haruhusiwi hata kuongoza swala ni wa shirikina wa kubwa, mskitini hawakanyagi wanaogapa kupingwa na waislamu.
 
Wote matapeli tu
Mbona maradhi na umasikini tumo kwenye top list
Sasa maji ya zamzam yanahusiana nini na kupandisha mashetani
Je hayo ya upako wanafaidika nini nayo zaidi ya imani dhaifu?
Wizi kama wizi mwingine
Ndio maana unaona wanaongezeka matapeli mpaka kutoka ng'ambo ya nchi, maana wameona kwa wabongo kuchuma ni rahisi sana
Hebu waende kwa Kagame kama wanaume
 
Lakini kwa wakristo ushirikina umekua dhahiri zaidi, eti kukanyaga maji ya baraka, kupaka watu majivu kulishwa vimkate eti ni mwili wa Yesu nk, hiyo haiwezi kua sehemu ya ibaada.
Hata Kwa waislamu yatafika tu. Kumbuka ukristo ndo ulianza kwanza uislam ukafatia. Muda utaongea tu Wala si mbali Leo hii mazinge ni WA kupromote maji ya upako?
 
Wote matapeli tu
Mbona maradhi na umasikini tumo kwenye top list
Sasa maji ya zamzam yanahusiana nini na kupandisha mashetani
Je hayo ya upako wanafaidika nini nayo zaidi ya imani dhaifu?
Wizi kama wizi mwingine
Ndio maana unaona wanaongezeka matapeli mpaka kutoka ng'ambo ya nchi, maana wameona kwa wabongo kuchuma ni rahisi sana
Hebu waende kwa Kagame kama wanaume
Maji ya zam zam sio nguzo wala sehemu ya ibaada popote katika uislamu, au nguzo watu kuyachukua kwa hiari yao hayana ulazima yoyote katika uislamu.
 
Mkuu hao wakina sh Yahaya nawezie ni wapiga pesa hata mskitini wanatengwa haruhusiwi hata kuongoza swala ni wa shirikina wa kubwa, mskitini hawakanyagi wanaogapa kupingwa na waislamu.
Mimi nilihuduria mkutano wake mmoja, ila wateja wake hao wote waliokuwa pale uwanjani ni waislam. Inaonekana misikitini kuna vitu vinapungua na waumini wameamua kwa wateja wa kawe na wakina Shehe Yahaya.
 
Wasabato wachungaji wanavichupa vya mafuta, na muongozo wao unawataka hivyo hasa kwa wagonjwa mahututi. Huwezi kuwasikia wanasema na wasabato wengi hawajui kwa sababu hawayabiasharisha na hutumia mara chache sana.

Walokole hawa ndio kwao. Kwa sababu kule kipaumbele ni sadaka yameungamanishwa na sadaka. Ila ambao hawajafanikiwa wanashambulia waliofanikiwa kwa sababu za wivu tu.

Wakatoriki wao maji ya upako wanqita ya Baraka. Ukeinde ubungo Riverside ya Fadhq Nkwela ukitupiwa hayo maji kama unapepo lazima ugalegale kama kambare na litakutoka.

Wqislam hawa nimeshuhdia mwenyewe sheikh akigawa maji ya zamzam na watu kuanza kulipuka mapepo uwanjani. Kisha anashusha maboxi makubwa na kuuza vichupa kwa 2000tsh kila kimoja.


Maoni.
Nchi inamambo mengi, haya ya vifaa tipa vya kiroho tuyaache na tusiwaonee wivu yaliyowafanikisha. Tusiwaite matapeli maana watu wanaenda kwa hiyari, na hata wanakotoka yapo sema ni butu au hayajawezeshwa na nguvu za nuru au giza.


Ni hayo tu wakuu mbalimbali.

Mtumishi Matunduizi
Sawa wakulungwa.
 
Back
Top Bottom