sheriff john brown
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 717
- 714
Mkuu hao wakina sh Yahaya nawezie ni wapiga pesa hata mskitini wanatengwa haruhusiwi hata kuongoza swala ni wa shirikina wa kubwa, mskitini hawakanyagi wanaogapa kupingwa na waislamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hao wakina sh Yahaya nawezie ni wapiga pesa hata mskitini wanatengwa haruhusiwi hata kuongoza swala ni wa shirikina wa kubwa, mskitini hawakanyagi wanaogapa kupingwa na waislamu.
Kwa Wachungaji wa kisabato hakunaga hiyo mambo ya mafuta wala maji ya upako. na kama yupo atakuwa ni muasi au anajiita yeye binafsi mchungaji wa kisabato. Vilevile unaweza thibitisha kwa ushahidi uliyemwona na kichupa cha maji ya upako ni mchungaji wa kisabatoWasabato wachungaji wana vichupa vya mafuta, na muongozo wao unawataka hivyo hasa kwa wagonjwa mahututi. Huwezi kuwasikia wanasema na Wasabato wengi hawajui kwa sababu hawana biasharisha na hutumia mara chache sana.
Walokole hawa ndio kwao. Kwa sababu kule kipaumbele ni sadaka yameungamanishwa na sadaka. Ila ambao hawajafanikiwa wanashambulia waliofanikiwa kwa sababu za wivu tu.
Wakatoriki wao maji ya upako wanqita ya Baraka. Ukeinde Ubungo Riverside ya Fadhq Nkwela ukitupiwa hayo maji kama unapepo lazima ugalegale kama kambare na litakutoka.
Wqislam hawa nimeshuhdia mwenyewe sheikh akigawa maji ya zamzam na watu kuanza kulipuka mapepo uwanjani. Kisha anashusha maboxi makubwa na kuuza vichupa kwa 2000tsh kila kimoja.
Maoni.
Nchi inamambo mengi, haya ya vifaa tiba vya kiroho tuyaache na tusiwaonee wivu yaliyowafanikisha. Tusiwaite matapeli maana watu wanaenda kwa hiyari, na hata wanakotoka yapo sema ni butu au hayajawezeshwa na nguvu za nuru au giza.
Ni hayo tu wakuu mbalimbali.
Mtumishi Matunduizi.
Muongozo wake unamuhitaji awe na mafuta kwa ajili ya wagonjwa. Waulize vizuri watakusaidia. Sio uasi ni kwa msingi wa Yakobo5:14. Huwezi kujua kwa sababu yanatumika kwenye kesi chache na wengi hawapendi kutumiaKwa
Kwa Wachungaji wa kisabato hakunaga hiyo mambo ya mafuta wala maji ya upako. na kama yupo atakuwa ni muasi au anajiita yeye binafsi mchungaji wa kisabato. Vilevile unaweza thibitisha kwa ushahidi uliyemwona na kichupa cha maji ya upako ni mchungaji wa kisabato
Yawezekana. Ila ingekuwa bora zaidi ungeweka humu sehemu ya huo mwongozo, inayotoa maelekezo kwa mchungaji wa kisabato kutumia mafuta ya upako. Kwa faida ya wote ambao hatujawahi fahamu hiyo kanuniMuongozo wake unamuhitaji awe na mafuta kwa ajili ya wagonjwa. Waulize vizuri watakusaidia. Sio uasi ni kwa msingi wa Yakobo5:14. Huwezi kujua kwa sababu yanatumika kwenye kesi chache na wengi hawapendi kutumia
mimi sina aja ya vichupa vya maji ,,,napiga zangu mbizi baharini{nikiwa dar},ziwani[nikiwa kanda ya ziwa] au mtoni nikiwa kwe2 kibosho-moshi.......napiga mbizi huko huku nikisali kwa muda wa masaa mawili,,nikitoka humo mambo yangu yote yanakuwa safi,na vimaradhi vidogovidogo vyote kwishne!!!!........Wasabato wachungaji wana vichupa vya mafuta, na muongozo wao unawataka hivyo hasa kwa wagonjwa mahututi. Huwezi kuwasikia wanasema na Wasabato wengi hawajui kwa sababu hawana biasharisha na hutumia mara chache sana.
Walokole hawa ndio kwao. Kwa sababu kule kipaumbele ni sadaka yameungamanishwa na sadaka. Ila ambao hawajafanikiwa wanashambulia waliofanikiwa kwa sababu za wivu tu.
Wakatoriki wao maji ya upako wanqita ya Baraka. Ukeinde Ubungo Riverside ya Fadhq Nkwela ukitupiwa hayo maji kama unapepo lazima ugalegale kama kambare na litakutoka.
Wqislam hawa nimeshuhdia mwenyewe sheikh akigawa maji ya zamzam na watu kuanza kulipuka mapepo uwanjani. Kisha anashusha maboxi makubwa na kuuza vichupa kwa 2000tsh kila kimoja.
Maoni.
Nchi inamambo mengi, haya ya vifaa tiba vya kiroho tuyaache na tusiwaonee wivu yaliyowafanikisha. Tusiwaite matapeli maana watu wanaenda kwa hiyari, na hata wanakotoka yapo sema ni butu au hayajawezeshwa na nguvu za nuru au giza.
Ni hayo tu wakuu mbalimbali.
Mtumishi Matunduizi.!!!!!
Sio tu Muongozo wa hao wachungaji, hadi roho ya unabii kitabu cha Pastoral ministries kimeeleza ila kwa tahadhari.Yawezekana. Ila ingekuwa bora zaidi ungeweka humu sehemu ya huo mwongozo, inayotoa maelekezo kwa mchungaji wa kisabato kutumia mafuta ya upako. Kwa faida ya wote ambao hatujawahi fahamu hiyo kanuni