Atatengwa tu akifanya lolote nje ya Uislamu hususani nje ya kilicho andikwa kwenye Qur'an tukufu......Hata Kwa waislamu yatafika tu. Kumbuka ukristo ndo ulianza kwanza uislam ukafatia. Muda utaongea tu Wala si mbali Leo hii mazinge ni WA kupromote maji ya upako?
Kuna yule aliyeua albino Kagera aliyekuwa padri kwa kushirikiana na baba mzazi. Imetokea kama miezi miwili nyuma. Wale wanaofanya ushirikina viongozi wa dini wanawasiliana na nani?Dini ya Ukristo kuna kupasua nazi?
Kuna Pete za dhahabu?
Kuna kuwasiliana na majini?
Hiyo naona ni personal weakness hatuwezi kuichukulia katika imani nzima ya kikristo, ila hivi vitendo vya kumwagia waumini maji ya upako kusyakanyaga kupakwa majivu, kama sehemu ya ibaada ni ushirikina kabisa.Kuna yule aliyeua albino Kagera aliyekuwa padri kwa kushirikiana na baba mzazi. Imetokea kama miezi miwili nyuma. Wale wanaofanya ushirikina viongozi wa dini wanawasiliana na nani?
Mtumishi wa Mwamposa sioWasabato wachungaji wanavichupa vya mafuta, na muongozo wao unawataka hivyo hasa kwa wagonjwa mahututi. Huwezi kuwasikia wanasema na wasabato wengi hawajui kwa sababu hawayabiasharisha na hutumia mara chache sana.
Walokole hawa ndio kwao. Kwa sababu kule kipaumbele ni sadaka yameungamanishwa na sadaka. Ila ambao hawajafanikiwa wanashambulia waliofanikiwa kwa sababu za wivu tu.
Wakatoriki wao maji ya upako wanqita ya Baraka. Ukeinde ubungo Riverside ya Fadhq Nkwela ukitupiwa hayo maji kama unapepo lazima ugalegale kama kambare na litakutoka.
Wqislam hawa nimeshuhdia mwenyewe sheikh akigawa maji ya zamzam na watu kuanza kulipuka mapepo uwanjani. Kisha anashusha maboxi makubwa na kuuza vichupa kwa 2000tsh kila kimoja.
Maoni.
Nchi inamambo mengi, haya ya vifaa tipa vya kiroho tuyaache na tusiwaonee wivu yaliyowafanikisha. Tusiwaite matapeli maana watu wanaenda kwa hiyari, na hata wanakotoka yapo sema ni butu au hayajawezeshwa na nguvu za nuru au giza.
Ni hayo tu wakuu mbalimbali.
Mtumishi Matunduizi
Kuna mtoto alikuwa anasumbuliwa na mapepo hadi rangi ya ngozi yake nyeupe inabadilika na kuwa blue . Walimfanyia maombezi na kumpaka mafuta ya mzeituni miaka ya 2005 baada ya wiki alipona tangu wakati huo now ameshakuwa na familia yake . Praise to lordWasabato wachungaji wanavichupa vya mafuta, na muongozo wao unawataka hivyo hasa kwa wagonjwa mahututi. Huwezi kuwasikia wanasema na wasabato wengi hawajui kwa sababu hawayabiasharisha na hutumia mara chache sana.
Walokole hawa ndio kwao. Kwa sababu kule kipaumbele ni sadaka yameungamanishwa na sadaka. Ila ambao hawajafanikiwa wanashambulia waliofanikiwa kwa sababu za wivu tu.
Wakatoriki wao maji ya upako wanqita ya Baraka. Ukeinde ubungo Riverside ya Fadhq Nkwela ukitupiwa hayo maji kama unapepo lazima ugalegale kama kambare na litakutoka.
Wqislam hawa nimeshuhdia mwenyewe sheikh akigawa maji ya zamzam na watu kuanza kulipuka mapepo uwanjani. Kisha anashusha maboxi makubwa na kuuza vichupa kwa 2000tsh kila kimoja.
Maoni.
Nchi inamambo mengi, haya ya vifaa tipa vya kiroho tuyaache na tusiwaonee wivu yaliyowafanikisha. Tusiwaite matapeli maana watu wanaenda kwa hiyari, na hata wanakotoka yapo sema ni butu au hayajawezeshwa na nguvu za nuru au giza.
Ni hayo tu wakuu mbalimbali.
Mtumishi Matunduizi
Wasiojua wameyafanya kama matambiko, na hata udanganya kuwa ni dawa na hata huzuia uchawiMaji ya zam zam sio nguzo wala sehemu ya ibaada popote katika uislamu, au nguzo watu kuyachukua kwa hiari yao hayana ulazima yoyote katika uislamu.
Huo ni ushirikina nguvu za giza hizo hizo sio Dini kabisa.Kuna mtoto alikuwa anasumbuliwa na mapepo hadi rangi ya ngozi yake nyeupe inabadilika na kuwa blue . Walimfanyia maombezi na kumpaka mafuta ya mzeituni miaka ya 2005 baada ya wiki alipona tangu wakati huo now ameshakuwa na familia yake . Praise to lord
AmenKuna mtoto alikuwa anasumbuliwa na mapepo hadi rangi ya ngozi yake nyeupe inabadilika na kuwa blue . Walimfanyia maombezi na kumpaka mafuta ya mzeituni miaka ya 2005 baada ya wiki alipona tangu wakati huo now ameshakuwa na familia yake . Praise to lord
Na zam zam haijaandikwa popote kwenye Qur'an japo sio haramu ila sio sehemu ya ibaada katika uislamu na si tiba ya ugonjwa wowote na sio ya lazima ni wewe na imani yakoWasiojua wameyafanya kama matambiko, na hata udanganya kuwa ni dawa na hata huzuia uchawi
Shirk nyingi sana zama hizi
Mtu unauziwa maji ya kisima wanasema ya zamzam
Huo sio uislamu ni watu binafsi wsshikina wanao jificha jatika dini za watu, ili kupata washirikina wenzao wapige pesa zao.sisi imani yetu inafuga majini na ina amini ktk ushirikina uganga na ramli, kwahio hatupendi maji ya upako
sijataja sehemu dini ila wewe umekanusha kwa kutaja uislamu... Hii ina maana kwamba unakanusha ukweli uwe uwongo unapotosha...? Kwani kuna shida gani kama watu mkiamini ktk ushirikina uganga na ramli 💩Huo sio uislamu ni watu binafsi wsshikina wanao jificha jatika dini za watu, ili kupata washirikina wenzao wapige pesa zao.
Wengi wanao dai kuponya majini hujiita waislamu ila wanafanya wao binafsi sio kama sehemu ya iman au ibada ya uislamu, wengi washirikina tu.sijataja sehemu dini ila wewe umekanusha kwa kutaja uislamu... Hii ina maana kwamba unakanusha ukweli uwe uwongo unapotosha...? Kwani kuna shida gani kama watu mkiamini ktk ushirikina uganga na ramli [emoji90]
Huo upumbavu ulioandika hapo unaona ni hoja hiyo 🤔🤔 mpuuzi kweli weweWewe mbona mpuuzi uislamu unaungizaje hapa acha udini leta hoja.
Wewe kweli unaona kitendo cha kupaka majivu, mafuta waumini sio ushirikina?Huo upumbavu ulioandika hapo unaona ni hoja hiyo [emoji848][emoji848] mpuuzi kweli wewe
Hilo ni jibu sio swaliWewe kweli unaona kitendo cha kupaka majivu, mafuta waumini sio ushirikina?