Inashangaza mpaka sasa tukiwa tunauendea mwezi wa tano bado tu wakati inafahamika fika kuwa kunakuwa na gharama kibao.
Pamoja na kufuta ada, lakini kwa utitiri wa michango iliyopo advance mzazi itamgharimu si chini ya laki tatu (300,000/=) kuweza kumpeleka mtoto shule. Kiasi hiki ni kichekesho kwa wengi wenu humu lakini, amini nawaambia, ni kiasi kikubwa sana kwa wazazi wengi waliopo huko vijijini.
Kukipata hicho kiasi, inamlazimu mzazi kulima kibarua cha ekari kibao tu. Ikumbukwe pia, hiko ndo kipato cha juu cha mwaka kwa wakulima wengi tu.........Mungu mkubwa na wa ajabu, sote tunaishi na tunakutana kwa Mangi kukopa unga.
Kuwasaidia hawa, infekuwa busara kutoa hizo selection mapema zaidi kwa nafasi ya kutosha zaidi ya kujiandaa........mwezi wa nne ingependeza zaidi. Nasikia shule zinafungwa tarehe 31.05.2023, maana yake ni kwamba tayari muhula umeshaisha na ikumbukwe kuwa zinapofunguliwa basi na haaa form 5 inabidi wakafungue pamoja.
Pamoja na kufuta ada, lakini kwa utitiri wa michango iliyopo advance mzazi itamgharimu si chini ya laki tatu (300,000/=) kuweza kumpeleka mtoto shule. Kiasi hiki ni kichekesho kwa wengi wenu humu lakini, amini nawaambia, ni kiasi kikubwa sana kwa wazazi wengi waliopo huko vijijini.
Kukipata hicho kiasi, inamlazimu mzazi kulima kibarua cha ekari kibao tu. Ikumbukwe pia, hiko ndo kipato cha juu cha mwaka kwa wakulima wengi tu.........Mungu mkubwa na wa ajabu, sote tunaishi na tunakutana kwa Mangi kukopa unga.
Kuwasaidia hawa, infekuwa busara kutoa hizo selection mapema zaidi kwa nafasi ya kutosha zaidi ya kujiandaa........mwezi wa nne ingependeza zaidi. Nasikia shule zinafungwa tarehe 31.05.2023, maana yake ni kwamba tayari muhula umeshaisha na ikumbukwe kuwa zinapofunguliwa basi na haaa form 5 inabidi wakafungue pamoja.