Sasa huyu Bashe kamsaidia mkulima au kamuangamiza? Huu mchele wa Ruzuku unaweza kuuzwa 1,500/- kwa kilo

Sasa huyu Bashe kamsaidia mkulima au kamuangamiza? Huu mchele wa Ruzuku unaweza kuuzwa 1,500/- kwa kilo

Ninavyowajua Watanzania wanapenda vitu vya bei rahisi Bila kuzingatia ubora

Hiyo michele iliyofichwa na Wakulima soon inaenda kuwadodea

Bashe ajipime kama anatosha!

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Sigara nyota, anawashwa popote.
Tatizo siyo mtoa mada bali akili yake imeshindwa kuchambua hadha ya kufichwa chakula, ugumu wa kupata mlo na wepesi wa kupata mlo.

Huyo huyo anaanzisha uzi 'mchele shs 3800kg bashe hafai' leo anaanzisha uzi 'Bashe anaangamiza mkulima' yaani ni hajui au anajifanya kusimama kati asionekane mpinzani.

Anang'ata na kupuliza!.
 
Kuna siku tangu Uhuru serikali imekuja na Sera za kumsaidia mkulima?
 
Back
Top Bottom