Sasa huyu Bashe kamsaidia mkulima au kamuangamiza? Huu mchele wa Ruzuku unaweza kuuzwa 1,500/- kwa kilo

Ninavyowajua Watanzania wanapenda vitu vya bei rahisi Bila kuzingatia ubora

Hiyo michele iliyofichwa na Wakulima soon inaenda kuwadodea

Bashe ajipime kama anatosha!

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Sigara nyota, anawashwa popote.
 
Kuna siku tangu Uhuru serikali imekuja na Sera za kumsaidia mkulima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…