GREAT VISIONAIRE
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 365
- 452
- Thread starter
-
- #41
una elimu gani kwani wewe?!!
Hahaaaaa......... Havina uhusiano banaaa! Kitandani nakuwa kama sijasoma hata chekechea..! Ile ni habari nyingine kabisaaaaaa usiogope!!
Hahahaaa.. Kaka wa mujini acha uoga banaaa..! phd ni makaratasi tuu..!!
Naogopa kupewa 'lecture' kitandani lol
Ukinipatia wine ya Mon amie itakuwa bombaaaaa!!
Mmmmmmmmmmmmmh!!!!!!!!!!! Mi natafuta mwenye MBESA hata akiwa darasa la saba!!!!!!!! Degree ukiipeleka dukani kwani inanunua bidhaaaaaa? I didnt think soo!!!!!!!!! Mambo yote wallet iliyotuna mmiliki akiwa elimu ya UPE!!!!!!!!!!!
itabidi tu nikutaftie manake mi huyu mtu huwa namtaftiaga kweli timu pinzani :fencing:kama hivi wanamserve him ryt huwa naona hewaaaaaaa!marhabaaaaaaa!ahahahahhahhaahha THE COMMUNIST himself!
Shikamoo The Boss
Usimpe moyo The Boss maana yeye kitandani ataona poa tu kama vile yupo na yule wa english course, tatizo anaogopa life after kitandani hususani katika mazungumzo, wakati wewe unazungumza nilipokuwa University of michigan nachukua degree ya tatu ulikuwa unajipenda, yeye atajiona anapwaya itabidi nae azungumze alipokuwa Changanyikeni jirani na UDSM alikuwa anaongea sana na wanafunzi (ili angalau na yeye aonyeshe amekaajirani na watu wa taasisi muhimu)
mambo ya kungonoka ki-degree degree,....honeeey research title .....please ongeza speeed,yaah yaah coursework imekubali,yap eeh eeeeh research uuuuuh proposal mmh!
pamoja na madegree ma3 cha ajabu wanaishia mikononi mwa masela wa maskani ...degree bongo?
Kinywaji chja wa 'mujini' hiki lol
mambo ya kungonoka ki-degree degree,....honeeey research title .....please ongeza speeed,yaah yaah coursework imekubali,yap eeh eeeeh research uuuuuh proposal mmh!
Yaani weeeeeee ni kiboko..! Umeniacha hoi mpaka baaaaasi..!
ndo mnavyo fanya hivyoo
Ukitaka uhondo wa ngoma uingie ucheze..! Unauliza nini kama unaogopa?
'wa mujini' huwa hatuogopi kitu
samali hata awe mkubwa vipi tunauliza bei lol
Sawa sawa ulikuwa unataka kunitisha maana mie kukuaminia sana wewe kaka wa Mujini hapana kushindwa kitu!! Lol
Ushindwe wewe tu lol
Hapa hashindwi mtu..! Na ukizingatia nilivyo fall kwa hiyo avatar ya mkaka wa mujini!! Lol