SaSa hv mwendo ni kuoa mabinti wenye degree tu

ha ha haa nikuonye tu sura yangu ya ukweli
iko kati kati ya dr remmy ongala na bi kidude
usikimbie ukipiga mayowe tu lol

Hahahaaa.... Kama habari ndio hiyo wacha niendelee kuwa busy na hii research yangu, naona research title haijakaa vizuri..! Na hizi objectives naona haziko SMART zitanisumbua kwenye data analysis..!
 
Hahahaaa.... Kama habari ndio hiyo wacha niendelee kuwa busy na hii research yangu, naona research title haijakaa vizuri..! Na hizi objectives naona haziko SMART zitanisumbua kwenye data analysis..!

SMART objectives, umenikumbusha project planning. . .
 
Neylu hapo umemaliza eti mwenye digrii tatu kwani haipiti? hahahahhahahahahahahhahahhahahahahaahahhahahahaha


Unaogopa haya ma degree matatu?? Mmmh... Ina maana uki date na wenye degree tatu huwa haipiti??
 
ID yako ungekua unaiishi ingekua safi sana!
 
Mwanamke kusoma ni kitu muhimu sana, kitu kimoja tu usisahau mke mzuri ni yule aliye lelewa nyumbani kwao vizuri... anaye heshimu ndoa, kabla ya kuheshimu elimu yake :biggrin1:
 
Mimi nafikiri swala la kuoa linahitaji kumwomba sana mungu, kwani marriage can change yo future totally, swala la degree halina uhusiano na ndoa, status inabakia mume/mke....
 
The Boss umezoea kuchezea vyeupe leo vyeusi vinakupaka masizi!
ahahhahahahhahahhahhahahhaha uwiiih !jamani mpeni pumzi kidogo muumini wangu lol!
 
Last edited by a moderator:
kwiii hakuna kitu kma hicho huku tanga ni maujuz tu mtu alivyo!
 
Degree (a.k.a digriiii) ya fani gani? maana mmmmh ngumu kidogo ku-comment hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…