ha ha haa nikuonye tu sura yangu ya ukweli
iko kati kati ya dr remmy ongala na bi kidude
usikimbie ukipiga mayowe tu lol
Hahahaaa.... Kama habari ndio hiyo wacha niendelee kuwa busy na hii research yangu, naona research title haijakaa vizuri..! Na hizi objectives naona haziko SMART zitanisumbua kwenye data analysis..!
Unaogopa haya ma degree matatu?? Mmmh... Ina maana uki date na wenye degree tatu huwa haipiti??
The Boss umezoea kuchezea vyeupe leo vyeusi vinakupaka masizi!Usimpe moyo The Boss maana yeye kitandani ataona poa tu kama vile yupo na yule wa english course, tatizo anaogopa life after kitandani hususani katika mazungumzo, wakati wewe unazungumza nilipokuwa University of michigan nachukua degree ya tatu ulikuwa unajipenda, yeye atajiona anapwaya itabidi nae azungumze alipokuwa Changanyikeni jirani na UDSM alikuwa anaongea sana na wanafunzi (ili angalau na yeye aonyeshe amekaajirani na watu wa taasisi muhimu)
Hahahaa leo niko mikononi mwa 'phd holder' leo
kazi ipo lol