Sasa itamkwe rasmi Dar es Salaam si ya Wazaramo na Wandengereko

Sasa itamkwe rasmi Dar es Salaam si ya Wazaramo na Wandengereko

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Maana hao wazaramo na wandengereko halisi walishahama maeneo ya mijini wameenda maeneo ya ndanindani huko hasa maeneo ya mkoa wa pwani.

Jiji limebaki kukaliwa na mchanganyiko wa watu kutoka kona zote za nchi.

Sasa Jiji linapendezeshwa na akina nshomile akina mapikipiki na malori akina mushi na wengineo.

Nawasilisha wakuu dar sasa ni freetown, sio tena ya mtu awaye yote, awe mzaramo wala mndengereko
🎵🎼🎵🎼🎷🎷
 
Maana hao wazaramo na wandengereko halisi walishahama maeneo ya mijini wameenda maeneo ya ndanindani huko hasa maeneo ya mkoa wa pwani.

Jiji limebaki kukaliwa na mchanganyiko wa watu kutoka kona zote za nchi.

Sasa Jiji linapendezeshwa na akina nshomile akina mapikipiki na malori akina mushi na wengineo.

Nawasilisha wakuu dar sasa ni freetown, sio tena ya mtu awaye yote, awe mzaramo wala mndengereko
🎵🎼🎵🎼🎷🎷
Iko hivyo tangu miaka ya 1960.
 
Maana hao wazaramo na wandengereko halisi walishahama maeneo ya mijini wameenda maeneo ya ndanindani huko hasa maeneo ya mkoa wa pwani.

Jiji limebaki kukaliwa na mchanganyiko wa watu kutoka kona zote za nchi.

Sasa Jiji linapendezeshwa na akina nshomile akina mapikipiki na malori akina mushi na wengineo.

Nawasilisha wakuu dar sasa ni freetown, sio tena ya mtu awaye yote, awe mzaramo wala mndengereko
🎵🎼🎵🎼🎷🎷
Tanzania yote ni ya Watanzania, ndiyo maana Wasukuma na Wachagga wamejaa kila kona.

Acheni ukabila.

Wazaramo wenyewe tuliowakaribisha mjini wala hatuna tatizo la ukabila, ndiyo maana mji wetu ukashamiri.

Na kiukweli historia huwa haifutiki.
 
Maana hao wazaramo na wandengereko halisi walishahama maeneo ya mijini wameenda maeneo ya ndanindani huko hasa maeneo ya mkoa wa pwani.

Jiji limebaki kukaliwa na mchanganyiko wa watu kutoka kona zote za nchi.

Sasa Jiji linapendezeshwa na akina nshomile akina mapikipiki na malori akina mushi na wengineo.

Nawasilisha wakuu dar sasa ni freetown, sio tena ya mtu awaye yote, awe mzaramo wala mndengereko
🎵🎼🎵🎼🎷🎷
Kwa kukaa kwako dar ndo ushawaona wenyeji hawana maana, wamewakaribisha vizuri wapeni heshima yao. Wazaramo wako poa sana, hawana ukabila. Hata iweje bado wataendelea kuwa wenyeji wako kilongola kilongola tu
 
Kwa kukaa kwako dar ndo ushawaona wenyeji hawana maana, wamewakaribisha vizuri wapeni heshima yao. Wazaramo wako poa sana, hawana ukabila. Hata iweje bado wataendelea kuwa wenyeji wako kilongola kilongola tu
Huyo ni limbukeni kwanza nani alimwambia Wazaramo hawapo mjini au alienda anahoji kila mtu kabila lake?
Mji wowote Mkubwa lazima uwe na mwingiliano ndo maana kwao huko Bukoba na Moshi miji imedumaa kwa ukabila na ujinga ujinga mwingi maana mgeni anaonekana adui yao mkubwa!
 
Wazaramo na wandengereko wapewe maua yao. Bila wao kukubali kuuza maeneo/ardhi/viwanja Dar ungekuwa mkoa maskini mno na usingeendelea. Wapewe maua yao.
 
Huyo ni limbukeni kwanza nani alimwambia Wazaramo hawapo mjini au alienda anahoji kila mtu kabila lake?
Mji wowote Mkubwa lazima uwe na mwingiliano ndo maana kwao huko Bukoba na Moshi miji imedumaa kwa ukabila na ujinga ujinga mwingi maana mgeni anaonekana adui yao mkubwa!
Nshomile ndo hawafai kabisa. Walikataa kuniuzia nyama kisa sijui kinshomile. Quote " ukiniletea bishwaili byako hapa sikuuzi nyama" EOQ. Nikaondoka zangu nikaenda sokoni kununua " emboju".
 
Huko wanakokimbilia si ndiyo kuna nafasi yakufanya ngoma kila siku , maana kila weekend mwali anatolewa nje.
 
Back
Top Bottom