Kuna mmoja huko kwao nchi jirani, yeye aliita nchi hiyo ....... limited company, wananchi wa huko wakamjia juu. Aliwajibu kuwa kwenye kampuni kuna hisa, na wenye hisa ndio hao waliowachagua kuingia madarakani, na ndio watakaofaidi matunda ya nchi. Kuhusu kila mwana ccm kuonja keki ya nchi hii ni kawaida, na ndio sababu kuu kila mwanachi kujiunga na chama hicho ili ikifika wasaa wake wa kulamba asali naye alambe. Hao wengine wataambulia kama zile chengachenga zinazoanguka chini sisimizi wanazifaidi