Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
naona ndiyo unaingia mjini toka shamba maana unakazana kujifunza na kutumia lugha za vijiweni na za wabwia unga:
Chapa lapa
sepa bhana...
Siyo kosa lako...
Tafakari...
unalo hilo kama yamekuuma kunywa sumu ufeeeeeee!!
ngoja nikupuuze, naona iq yako below maginal...
Tafakari...
nin-compoop!! Go to hell
Since you have ever been there...i'm coming too
Tafakari
Nin-compoop barbercueman go to hell!!
Kwanza ulichokiandika hapo lengo lako lilikuwa uandike kifaransa lkn umechemka hahahah lugha ya watu hiyo we kuandika hujui unadhani kiswahili hiko? Pole sanaahaaaaa...tu es si foul, imbecile, bête comme un cochon...
Tafakari...
Kwanza ulichokiandika hapo lengo lako lilikuwa uandike kifaransa lkn umechemka hahahah lugha ya watu hiyo we kuandika hujui unadhani kiswahili hiko? Pole sana
Kubali ukweli umechapia wewe acha mbwembwe umecopy google ukaja kupaste kitu ambacho hata we mwenyewe hukijui, kasome tena sio kuja kutudanganya humu jf, aibu hiyo wewe mkubwa acha hizoMuulize vizuri mwl wako, keshakuona na wewe zobe ndiyo kakudanganya...
Tafakari...
Kubali ukweli umechapia wewe acha mbwembwe umecopy google ukaja kupaste kitu ambacho hata we mwenyewe hukijui, kasome tena sio kuja kutudanganya humu jf, aibu hiyo wewe mkubwa acha hizo
Huna haja ya kutumia maneno makali kama mtu haelewi. Inawezekana mchakato umekidhi matakwa ya kisheria lakini muafaka wa kisiasa hakuna na hili si la kufurahia hata kama katiba hii inayopendekezwa itapita kwani itaanza kulalamikiwa mara tu baada ya kuanza kutumika. Sasa nyie watu wenye akili hamlioni hilo?WEWE ACHA MBWEMBWE ZAKO NIMEKUJIBU VIZURI SANA HAPO JUU SASA CJUI UNATAKA UELIMISHWE VIPOI AU CLASS ULIKUWA MTU WA CHABO KWANINI UNAKUWA MVIVU WA KUSOMA?? KASOME HIZO SEHEMU UELEWE KILA KITU NIMEKUWEKEA YAANI UNATAKA
UTAFUNIWE ILI UMEZE TUU? KHAAA AIBU HIYO NIMEKWAMBIA UTARATIBU ULIOTUMIKA NDO HUO
HAPO JUU, WEWE MAJIBU UNAYO SASA KWANINI UNAULIZA MAJIBU TENA?? UNA MATATIZO WEWE YANI HAPO HATA MTOTO WA CHEKECHEA ANAELEWA NILICHOKIANDIKA SEMBUSE WEWE JIBABA LENYE
MADEVU? Khaaa
Huna haja ya kutumia maneno makali kama mtu haelewi. Inawezekana mchakato umekidhi matakwa ya kisheria lakini muafaka wa kisiasa hakuna na hili si la kufurahia hata kama katiba hii inayopendekezwa itapita kwani itaanza kulalamikiwa mara tu baada ya kuanza kutumika. Sasa nyie watu wenye akili hamlioni hilo?
Umasikini wa tanzania unasababishwa na utawala mbovu,kama katiba haizungumzii maadili miiko ya uongozi haina maana
Vipi tena? Mbona hivyo? Waungwa huwa tunazungumza, nawasihi sote tiutumie vizuri safu hii kwa manufaa ya kupata elimu adhimu juu ya masuala mbalimbali ya kijamiii ikiwemo la Katiba Inayopendekezwa sasa humu naamini tulumbane kwa hoja nzuruuri na najua tutakwaruzana lakini mwisho wa yote Taifa letu lipate Katiba BORA.
Mi nadhani na wewe uende kuolewa tu humu ndani hapakufai kabisaaa, labda useme unatafuta mabwana.
ww ni samwel sitta mzee mnafiki wa hali ya juu
wewe mwenyewe mwizi tu unayefananisha unayesema katiba ni ya watu hao unaowataja,unaonyesha upungufu mkubwa sana na hatukuamini.kwanza hiyo picha yako inaonyesha kabisa wewe ni mwizi wa simu usingeweka kufuli kwenye mkoba wa simu!!!!!!!
Naamini wananchi waliokuwa wengi hawakuhusika moja kwa moja kuwachagua wale wabunge wa BMK....ila hicho sio kigezo sana katika hili kwamaana hawakuenda kule kwa ajili ya kutuletea mataputapu kama haya wanayotulazimisha kuyapitisha hata kama tunaweza kutapika.
Kwanini tushindwe kutumia upeo wa akili alotujaria M/Mungu badala yake tunatumia akili za watu wengine hata kama hazina mantiki.
Unaonekan umekuwa mvivu wa kusoma na kufuatilia mambo sasa unadhani wale wamushushwa toka mbinguni?Naamini wananchi waliokuwa wengi hawakuhusika moja kwa moja kuwachagua wale wabunge wa BMK....ila hicho sio kigezo sana katika hili kwamaana hawakuenda kule kwa ajili ya kutuletea mataputapu kama haya wanayotulazimisha kuyapitisha hata kama tunaweza kutapika.
Kwanini tushindwe kutumia upeo wa akili alotujaria M/Mungu badala yake tunatumia akili za watu wengine hata kama hazina mantiki.