Sasa LHRC tumewaelewa

Sasa LHRC tumewaelewa

ahaaaaa...tu es si foul, imbecile, bête comme un cochon...

Tafakari...
Kwanza ulichokiandika hapo lengo lako lilikuwa uandike kifaransa lkn umechemka hahahah lugha ya watu hiyo we kuandika hujui unadhani kiswahili hiko? Pole sana
 
Kwanza ulichokiandika hapo lengo lako lilikuwa uandike kifaransa lkn umechemka hahahah lugha ya watu hiyo we kuandika hujui unadhani kiswahili hiko? Pole sana

Muulize vizuri mwl wako, keshakuona na wewe zobe ndiyo kakudanganya...

Tafakari...
 
Muulize vizuri mwl wako, keshakuona na wewe zobe ndiyo kakudanganya...

Tafakari...
Kubali ukweli umechapia wewe acha mbwembwe umecopy google ukaja kupaste kitu ambacho hata we mwenyewe hukijui, kasome tena sio kuja kutudanganya humu jf, aibu hiyo wewe mkubwa acha hizo
 
Kubali ukweli umechapia wewe acha mbwembwe umecopy google ukaja kupaste kitu ambacho hata we mwenyewe hukijui, kasome tena sio kuja kutudanganya humu jf, aibu hiyo wewe mkubwa acha hizo

Toujours, les bêtes sont les bêtes...

Mwambie huyo mwl wako asahihishe...

Tafakari...
 
WEWE ACHA MBWEMBWE ZAKO NIMEKUJIBU VIZURI SANA HAPO JUU SASA CJUI UNATAKA UELIMISHWE VIPOI AU CLASS ULIKUWA MTU WA CHABO KWANINI UNAKUWA MVIVU WA KUSOMA?? KASOME HIZO SEHEMU UELEWE KILA KITU NIMEKUWEKEA YAANI UNATAKA
UTAFUNIWE ILI UMEZE TUU? KHAAA AIBU HIYO NIMEKWAMBIA UTARATIBU ULIOTUMIKA NDO HUO
HAPO JUU, WEWE MAJIBU UNAYO SASA KWANINI UNAULIZA MAJIBU TENA?? UNA MATATIZO WEWE YANI HAPO HATA MTOTO WA CHEKECHEA ANAELEWA NILICHOKIANDIKA SEMBUSE WEWE JIBABA LENYE
MADEVU? Khaaa
Huna haja ya kutumia maneno makali kama mtu haelewi. Inawezekana mchakato umekidhi matakwa ya kisheria lakini muafaka wa kisiasa hakuna na hili si la kufurahia hata kama katiba hii inayopendekezwa itapita kwani itaanza kulalamikiwa mara tu baada ya kuanza kutumika. Sasa nyie watu wenye akili hamlioni hilo?
 
Huna haja ya kutumia maneno makali kama mtu haelewi. Inawezekana mchakato umekidhi matakwa ya kisheria lakini muafaka wa kisiasa hakuna na hili si la kufurahia hata kama katiba hii inayopendekezwa itapita kwani itaanza kulalamikiwa mara tu baada ya kuanza kutumika. Sasa nyie watu wenye akili hamlioni hilo?

Lakini watanzania wengine wanatabia ya kutopenda kusoma na wanakuwa wakwanza kupinga kitu hata kabla hawajakisoma, hii inasikitisha sana.
 
Umasikini wa tanzania unasababishwa na utawala mbovu,kama katiba haizungumzii maadili miiko ya uongozi haina maana
 
Umasikini wa tanzania unasababishwa na utawala mbovu,kama katiba haizungumzii maadili miiko ya uongozi haina maana

MAADILI NA MIIKO YA UONGOZI IKO KATIKA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KATIKA SURA YA NNE IBARA YA 28-31. Ukisoma utapata majibu mazuri kuhusu hilo suala.
 
Vipi tena? Mbona hivyo? Waungwa huwa tunazungumza, nawasihi sote tiutumie vizuri safu hii kwa manufaa ya kupata elimu adhimu juu ya masuala mbalimbali ya kijamiii ikiwemo la Katiba Inayopendekezwa sasa humu naamini tulumbane kwa hoja nzuruuri na najua tutakwaruzana lakini mwisho wa yote Taifa letu lipate Katiba BORA.

Hamna shida Mwasi, huyo dogo jinga nimeachana nae maana nahisi napoteza muda
 
Mi nadhani na wewe uende kuolewa tu humu ndani hapakufai kabisaaa, labda useme unatafuta mabwana.

Si kila mtu anafikiria mambo ya chupi kama wewe, wengine tunafikiria beyond that. Maana naona huna neno unalojua zaidi ya kuolewa ndo maana umeng'ang'ana na hilo neno. Anyway thank u for wasting my time though. Bye! Let us discuss Katiba if you have some ideas to contribute
 
ww ni samwel sitta mzee mnafiki wa hali ya juu


wewe mwenyewe mwizi tu unayefananisha unayesema katiba ni ya watu hao unaowataja,unaonyesha upungufu mkubwa sana na hatukuamini.kwanza hiyo picha yako inaonyesha kabisa wewe ni mwizi wa simu usingeweka kufuli kwenye mkoba wa simu!!!!!!!
 
wewe mwenyewe mwizi tu unayefananisha unayesema katiba ni ya watu hao unaowataja,unaonyesha upungufu mkubwa sana na hatukuamini.kwanza hiyo picha yako inaonyesha kabisa wewe ni mwizi wa simu usingeweka kufuli kwenye mkoba wa simu!!!!!!!

Anaweweseka huyo dogo.
 
Naamini wananchi waliokuwa wengi hawakuhusika moja kwa moja kuwachagua wale wabunge wa BMK....ila hicho sio kigezo sana katika hili kwamaana hawakuenda kule kwa ajili ya kutuletea mataputapu kama haya wanayotulazimisha kuyapitisha hata kama tunaweza kutapika.

Kwanini tushindwe kutumia upeo wa akili alotujaria M/Mungu badala yake tunatumia akili za watu wengine hata kama hazina mantiki.

Kaka mkubwa wale wajumbe walichaguliwa kwenye mabaraza kila mtu shahidi ila kwasababu hukutaka kufuatilia from the beginning ndo sababu unaongea haya yote......kingine nakumbuka kelele zilivyokuwa kubwa kipindi kile hasa pale palipoonekana mtu flani ananyonywa...namkumbuka brother mmoja alikuwa mlemavu wa mambo anaotwa mpanju kama sikosei alivyokuwa anawakimbiza watu kwenye baadhi ya vipengele....jaman tusiwe hivi.....me naamini waliowahi kutoka kususia mchakato baada ya kukosekana kwa serikali 3 wanawaeleza vibaya tuisome jamani kabla hatujaja kulumbana huku
 
Naamini wananchi waliokuwa wengi hawakuhusika moja kwa moja kuwachagua wale wabunge wa BMK....ila hicho sio kigezo sana katika hili kwamaana hawakuenda kule kwa ajili ya kutuletea mataputapu kama haya wanayotulazimisha kuyapitisha hata kama tunaweza kutapika.

Kwanini tushindwe kutumia upeo wa akili alotujaria M/Mungu badala yake tunatumia akili za watu wengine hata kama hazina mantiki.
Unaonekan umekuwa mvivu wa kusoma na kufuatilia mambo sasa unadhani wale wamushushwa toka mbinguni?
 
Back
Top Bottom