Sasa mnaudhi na kukera!

Sasa mnaudhi na kukera!

mhhhhhh hata sijui niseme nini..........

Lakini mbona mi na vaa baibui najificha nauso kabisa ka ninja, haya hao we unawaonaje tena lakini? Mh waache na wao, kizuri cha jiuza kibaya malizia mwenyewe. Na huko zenji huko sijui mwaka huu, kila kitu zenji zenji kunani tena.
 
Nguo ile ile inaweza kuwakaa watu wawili tofauti kutokana na miili yao ilivyojengeka. Mwingine ikampendeza sana na mwingine akaonekana kituko.

na hata akionekana kituko ni burudani nyingine pia jijini...
wewe ukitaka uone raha ya wadada wa mjini,nenda kijijini ukae wiki moja hivi..
halafu urudi town,uone jinsi shingo unavyozungusha zungusha ukiona wadada lol
 
...that's what I mean, majority hawapendezi!.....aaaarrrghhhhhhh!!!.....


Majority hawapendezi sababu majority wamezikuta ukubwani... Binti alolelewa kuvaa nguo ya namna hio hukuti kachemka... Wengine wanajifunzia ukubwani... Basi hapo kama limbukeni .... Balaaaa..... Samahani kama nitawakwaza walozikuta/jifunzia ukubwani but ndo ukweli wenyewe...
 
Lakini mbona mi na vaa baibui najificha nauso kabisa ka ninja, haya hao we unawaonaje tena lakini? Mh waache na wao, kizuri cha jiuza kibaya malizia mwenyewe. Na huko zenji huko sijui mwaka huu, kila kitu zenji zenji kunani tena.

mamushka nakusubiri pm...
nimekuletea low cut ya kufa mtu lol
 
...Ooooppsss, sio mbaya iwapo tu uvaaji wake hautopitiliza kiasi hiki;
article-1060310-02C196E100000578-672_468x286_popup.jpg

Lakini huyu dada'ngu, I hate to say hapa amenikwaza. She's so beautiful, wala halazimiki kuonyesha kifua.
003.jpg


...kina bro, hivi unaweza kuongozana na mkeo hadharani amevaa kituko namna hii?
Kwakweli yataka mnoyo, aheri nibakie 'wakuja' aisee!

Hiyo picha ya kwanza naona kama hana kufuli huyo lakini kama akiwa na kufuli mie sioni shida yoyote na picha ya pili kwa kweli sioni tatizo lolote...pamoja na kuwa matiti yanachungulia hahahahah lol! Tandahimba na Ikwiriri hakuna hizo Mkuu....Acha watu waseme jijini/mjini raha! LOL! 🙂
 
003.jpg


Mbu, aisee hii imetulia bana, usiiponde. Kwanza, picha imepigwa ndani ya jengo hivyo wahusika wana uhuru wa kuvaa wapendavyo. Pili, madada wamejisitiri na wamependeza kwa mitindo yao, na si kwamba wanalazimisha fashion kama huko kwingine.

...Steve, definately Irene na wenzake wa kushoto wamejistiri. Saafi sana.
Ila huyu Mrembo Maiyo, breki ya kwanza macho yako yanatua wapi? ...he he he,...kuwa mkweli tu mkuu!
Kwakweli kivazi chake ni distraction tosha!
 
...Ooooppsss, sio mbaya iwapo tu uvaaji wake hautopitiliza kiasi hiki;
article-1060310-02C196E100000578-672_468x286_popup.jpg

Lakini huyu dada'ngu, I hate to say hapa amenikwaza. She's so beautiful, wala halazimiki kuonyesha kifua.
003.jpg


...kina bro, hivi unaweza kuongozana na mkeo hadharani amevaa kituko namna hii?
Kwakweli yataka mnoyo, aheri nibakie 'wakuja' aisee!
Ndo maana nikasema inatwgemea na jinsi mtu anavyokamilisha uvaaji wake.Kama huyo dada wapo juu amezedisha....kama angevaa na tisheti au shati kubwa juu angeweza akapendeza bila kulazimisha wala kuonyesha mauongo yake kiiivyo!!!

Wengi ndi kama hivyo wanalazimisha fasheni hata zisizoendana nao...sijui kama hua wanajiangalia kwenye kioo na kuridhika na muonekano wao!!!Nwy mwisho wa siku huwezi kuwalazimisha wabadilike ila unaweza kuwashauri kipi kinawapendeza zaidi...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
...Steve, definately Irene na wenzake wa kushoto wamejistiri. Saafi sana.
Ila huyu Mrembo Maiyo, breki ya kwanza macho yako yanatua wapi? ...he he he,...kuwa mkweli tu mkuu!
Kwakweli kivazi chake ni distraction tosha!


but ukikutana navyo vingi hushtuki sana..
ishu uwe ndo kama umeteremka leo na treni au umetoka jela lol
waweza baka.lol
 
Hiyo picha ya kwanza naona kama hana kufuli huyo lakini kama akiwa na kufuli mie sioni shida yoyote na picha ya pili kwa kweli sioni tatizo lolote...pamoja na kuwa matiti yanachungulia hahahahah lol! Tandahimba na Ikwiriri hakuna hizo Mkuu....Acha watu waseme jijini/mjini raha! LOL! 🙂


Bak hio picha ya kwanza ukivaa hio nguo kufuli aina ni bikini... Hivyo haina maana. Hiyo nguo yani kuvaa kama huyo dada inabidi we mdada uwe na a very perfect a*** huyo dada as much as umemsifia yeye ilitakiwa avalie top inayo cover kidogo hadi walau mpaka chini kidogo... Katika fashion ya sasa hivi hio ndo nguo inakosewa kuliko zooote... wengine huonekana hata kama hoookers... Kuepusha kuumiza kichwa personally sigusi...

Huyo mdada wa boobs, yes she looks good and sexy but hayo mazingira yanaonesha kama kuna kazi ilikua inaendeshwa hapo... I hope alikua anapita tu but nguo ya namna hio ukivaa sehemu ya kazi men dont even listen to what you are saying... kila saa wanakuja na shida but the eyes, mind and juniors diverged... Haipendezi kazini inaonekana hauko serious...
 
...khaaaa....e bana kwa mtaji huu kweli mjini kumenishinda.
Bora nikalime viazi Mwarusembe! ...huo ni uhuru uliopitiliza!
Mitaani kwetu (Tuliokulia zama zile za Azimio la Arusha,) Scantily clad women tulikuwa tunawaita
'mayassa'...- wanawake wasiojiheshimu/wanaojiuza...

You can Imagine mentality iliyo stick kichwani mwangu.



...BAK, binafsi naamini mwili unahitaji stara vile vile.
Kuongozana na mw'mke anayetembea nusu uchi namna hiyo khaaaa!
hapana bana,....acha tu nibakie mshamba!

Nakubaliana nawe Mkuu...definition ya mtu kutembea uchi siku hizo inatofautiana sana kati ya mtu na mtu...unaweza kushangaa sana baadhi ya waume kuwaruhusu wake zao kuvaa na hata kuwanunulia nguo ambazo Wanaume wengine hawawezi kuwaruhusu wake zao kutoka nazo kwenye kadamnasi.
 
but ukikutana navyo vingi hushtuki sana..
ishu uwe ndo kama umeteremka leo na treni au umetoka jela lol
waweza baka.
lol

...halafu naona ajabu eti miaka hii yale maradhi ya mfadhaiko yamepungua,
tofauti na ilivyokuwa miaka kumi iliyopita!
 
...Hivi kuna aliyeifungua hiyo link ya Globalpublisherstz hako kabinti?
astaghafirullah wallah... sick!!!!!
 
Bak hio picha ya kwanza ukivaa hio nguo kufuli aina ni bikini... Hivyo haina maana. Hiyo nguo yani kuvaa kama huyo dada inabidi we mdada uwe na a very perfect a*** huyo dada as much as umemsifia yeye ilitakiwa avalie top inayo cover kidogo hadi walau mpaka chini kidogo... Katika fashion ya sasa hivi hio ndo nguo inakosewa kuliko zooote... wengine huonekana hata kama hoookers... Kuepusha kuumiza kichwa personally sigusi...

Huyo mdada wa boobs, yes she looks good and sexy but hayo mazingira yanaonesha kama kuna kazi ilikua inaendeshwa hapo... I hope alikua anapita tu but nguo ya namna hio ukivaa sehemu ya kazi men dont even listen to what you are saying... kila saa wanakuja na shida but the eyes, mind and juniors diverged... Haipendezi kazini inaonekana hauko serious...

Ni kweli kabisa Asha, kwamba kwa baadhi ya akina dada hicho cha juu kingeshuka chini zaidi ili kuficha wowowo yake na hata kwa wanaume wengine hawezi kukubali kutoka na mkewe/GF aliyevaa kitop kifupi kama hicho, lakini pia wapo wengine wengi hawaoni tatizo kabisa.
 
Ni kweli kabisa Asha, kwamba kwa baadhi ya akina dada hicho cha juu kingeshuka chini zaidi ili kuficha wowowo yake na hata kwa wanaume wengine hawezi kukubali kutoka na mkewe/GF aliyevaa kitop kifupi kama hicho, lakini pia wapo wengine wengi hawaoni tatizo kabisa.


mimi kinachonishangaza na fasheni za wanawake ni kuwa
kinguo kama hiko utasema ki pajama cha kulalia...
kumbe kwao ndio bonge la fasheni na mtu anachukua masaa kdhaa kwenye kioo lol na hapendezi still
kazi kuwa mwanamke....
 
...halafu naona ajabu eti miaka hii yale maradhi ya mfadhaiko yamepungua,
tofauti na ilivyokuwa miaka kumi iliyopita!


siku hizi watu wamezoea zamani ilikuwa
ndo uhuru wa mavazi ndo umeanza
 
mimi kinachonishangaza na fasheni za wanawake ni kuwa
kinguo kama hiko utasema ki pajama cha kulalia...
kumbe kwao ndio bonge la fasheni na mtu anachukua masaa kdhaa kwenye kioo lol na hapendezi still
kazi kuwa mwanamke....
Hahahah embu tuacheni jamani....alafu sio kila mwenye kioo anajiona!!Wengine nadhani hua wanaona kitu tofauti kabisaaaa na kile wanachoona watu wa nje!!!
 
...halafu naona ajabu eti miaka hii yale maradhi ya mfadhaiko yamepungua,
tofauti na ilivyokuwa miaka kumi iliyopita!

Sina uhakika na hili Mbu lakini nadhani maradhi ya mfadhaiko yamepungua kutokana na kukuwa kwa biashara ya machangu doa.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom