Sasa Mo Dewji kama unapenda 'Kupromoti' Ndondi kwanini usingeanza kwa 'Kuwapiganisha' Okra Magic na Dejan Mzungu?

Sasa Mo Dewji kama unapenda 'Kupromoti' Ndondi kwanini usingeanza kwa 'Kuwapiganisha' Okra Magic na Dejan Mzungu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ila siyo Siri Mo Dewji kwa sasa wala nisikufiche unazingua na unatuzingua sana tu wana Simba SC hasa kupitia hicho Kifidodido chako CEO Barbara Gonzalez.

Hivi Wewe Mo Dewji kama kweli Mzigo wa 20 Billion upo na uliuweka Simba SC ndiyo tushindwe kweli kutoa Tsh Milioni 800 kwa Victor Adebayor, Tsh Milioni 550 kwa Stephane Aziz K na Tsh Milioni 450 kwa Ceaser Lobi Manzoki?

Sikupangii Matumizi ya Pesa ( Fedha ) zako za Utajiri wa Kurithi kutoka kwa Baba yako Mzazi Mzee Ghullum ila kama kweli hivi sasa umeamua Kugeukia Kupromoti Ndondi ( Ngumi ) kwanini usingeanza na walioonyesha nia wakiwa Zanzibar Bondia Okra Magic ( Ghana ) na Bondia Dejan Mzungu ( Serbia ) halafu Bondia Wafula Chebukati na Bondia Raila Odinga kisha Utupromoti Mabondia GENTAMYCINE ( Rwanda ) na Bila bila ( Tanzania ) ila umechagua Kuanza na Wengine tu?

Mo Dewji unatuzingua hatukuelewi.
 
Utamlaumu MO Bure, Yale makampuni si yake yeye ni msimamizi wa Mali za familia. Yeye mwenyewe analipwa mshahara, MO kama kuisaidia Simba ameisaidia sana anacho kifanya kwasasa ni biashara Simba ipate na yeye apate.
Kwakua yeye ni mfanyabiashara ameamua apanue wigo katika michezo mingine Ili atangaze biashara zake na afaidike na izo promotion uku aki saidia kuinua boxing [emoji3037] na vipaji Kwa ujumla.
 
wana simba hapa tumepigwa bora tuchukue team wenyewe tuchangishane si unaona yanga sasa hivi wanavyoogelea manoi hakuna hata mchezaji anayedai hela, wachezaji wamesajiliwa kwa mamilioni ya pesa wote wamevunjiwa mikataba hamna cha ubahili kwa Gharib yule ndo tajiri sasa siyo za urithi
 
wana simba hapa tumepigwa bora tuchukue team wenyewe tuchangishane si unaona yanga sasa hivi wanavyoogelea manoi hakuna hata mchezaji anayedai hela, wachezaji wamesajiliwa kwa mamilioni ya pesa wote wamevunjiwa mikataba hamna cha ubahili kwa Gharib yule ndo tajiri sasa siyo za urithi

Ushawahi kuchanga hata mara moja? Mnapenda aana kupiga kelele mara ooo Mo atuachie timu yetu anatuibia mmeachiwa sasa iendeaheni kwa kushirikiana na Kigwa
 
Ila siyo Siri Mo Dewji kwa sasa wala nisikufiche unazingua na unatuzingua sana tu wana Simba SC hasa kupitia hicho Kifidodido chako CEO Barbara Gonzalez.

Hivi Wewe Mo Dewji kama kweli Mzigo wa 20 Billion upo na uliuweka Simba SC ndiyo tushindwe kweli kutoa Tsh Milioni 800 kwa Victor Adebayor, Tsh Milioni 550 kwa Stephane Aziz K na Tsh Milioni 450 kwa Ceaser Lobi Manzoki?

Sikupangii Matumizi ya Pesa ( Fedha ) zako za Utajiri wa Kurithi kutoka kwa Baba yako Mzazi Mzee Ghullum ila kama kweli hivi sasa umeamua Kugeukia Kupromoti Ndondi ( Ngumi ) kwanini usingeanza na walioonyesha nia wakiwa Zanzibar Bondia Okra Magic ( Ghana ) na Bondia Dejan Mzungu ( Serbia ) halafu Bondia Wafula Chebukati na Bondia Raila Odinga kisha Utupromoti Mabondia GENTAMYCINE ( Rwanda ) na Bila bila ( Tanzania ) ila umechagua Kuanza na Wengine tu?

Mo Dewji unatuzingua hatukuelewi.
We jamaa utakuwa bwabwa
 
Ila siyo Siri Mo Dewji kwa sasa wala nisikufiche unazingua na unatuzingua sana tu wana Simba SC hasa kupitia hicho Kifidodido chako CEO Barbara Gonzalez.

Hivi Wewe Mo Dewji kama kweli Mzigo wa 20 Billion upo na uliuweka Simba SC ndiyo tushindwe kweli kutoa Tsh Milioni 800 kwa Victor Adebayor, Tsh Milioni 550 kwa Stephane Aziz K na Tsh Milioni 450 kwa Ceaser Lobi Manzoki?

Sikupangii Matumizi ya Pesa ( Fedha ) zako za Utajiri wa Kurithi kutoka kwa Baba yako Mzazi Mzee Ghullum ila kama kweli hivi sasa umeamua Kugeukia Kupromoti Ndondi ( Ngumi ) kwanini usingeanza na walioonyesha nia wakiwa Zanzibar Bondia Okra Magic ( Ghana ) na Bondia Dejan Mzungu ( Serbia ) halafu Bondia Wafula Chebukati na Bondia Raila Odinga kisha Utupromoti Mabondia GENTAMYCINE ( Rwanda ) na Bila bila ( Tanzania ) ila umechagua Kuanza na Wengine tu?

Mo Dewji unatuzingua hatukuelewi.
Ndo ameanza kurara mbere.Waulize Mbagara market ama Africa Lyon na Singida united.
 
Utamlaumu MO Bure, Yale makampuni si yake yeye ni msimamizi wa Mali za familia. Yeye mwenyewe analipwa mshahara, MO kama kuisaidia Simba ameisaidia sana anacho kifanya kwasasa ni biashara Simba ipate na yeye apate.
Kwakua yeye ni mfanyabiashara ameamua apanue wigo katika michezo mingine Ili atangaze biashara zake na afaidike na izo promotion uku aki saidia kuinua boxing [emoji3037] na vipaji Kwa ujumla.
Mud ni opportunist tu kama Zito Zuberi Kabwe .Halafu wote ni Makolo.,,,, ,
 
Back
Top Bottom