Sasa Mrisho Gambo yuko katika mstari wa mbele katika foleni ya kula chakula cha sumu alichowapikia na kuwalisha wenzake-fitna, ukiua kwa upanga!

Sasa Mrisho Gambo yuko katika mstari wa mbele katika foleni ya kula chakula cha sumu alichowapikia na kuwalisha wenzake-fitna, ukiua kwa upanga!

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mrisho Gambo sasa anatakiwa kula chakula alichowalisha wenzake kwa muda mrefu sana, chakula chenye sumu ya fitna. Katika foleni, hakuna aliyebaki isipokuwa ni yeye, na mgawa chakula anamuangalia usoni kwa macho pima akiwa na upawa uliojaa chakula, gambo akiwa na sahani yake mbele ya mgawa chakula.

Katika utumishi wake Gambo kaumiza watu kwa staili yale ya siasa za uongo na fitna. Katika barabara ambayo hakujua kama ataelekezwa arudi kuipitia, alijaza miiba mingi ambayo sasa analazimika kuikanyaga ili apite.

Kakutana na Mkuu wa Mkoa-Makonda ambaye pia fitna ni sehemu ya siasa zake, na anaweza kumchekecha vilivyo na asikemewe. Je kama Mkuu anajua mambo ya ndani ya mpango wa chama kwamba kinaweza na kiliweza kuishi bila Arusha, wakamuachia yule mkimbizi ajiponye kiuchumi? Mbona chama kiliishi bila Mbeya, Iringa na Arusha? Seuze 2025-2030

Ila kwanza Gambo akionje kikombe alichowaonjesha wenzake enzi akiwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, na baadae Mkuu wa Mkoa wa Arusha, na baadae mbunge wa Arusha.

Ushauri wangu kwake, aanze kuondoa vitu vyake binafsi pale ofisi ya mbunge, na aanze safari rasmi ya kuwaaga wana Arusha.
 
Gambo kwa fitina sio poa. Zungu mwenyewe alitiwa jambajamba mwaka 2015 pale Ilala. Ila safari hii kakutana na mabingwa wenzie.. RC featuring Mayor sio mchezo. Kuna tetesi pia wakubwa hawamtaki ndo maana wameacha ashughulikiwe.
 
Mrisho Gambo sasa anatakiwa kula chakula alichowalisha wenzake kwa muda mrefu sana, chakula chenye sumu ya fitna. Katika foleni, hakuna aliyebaki isipokuwa ni yeye, na mgawa chakula anamuangalia using kwa macho pima akiwa na upawa uliojaa chakula, gambo akiwa na sahani yake mbele ya mgawa chakula.

Katika utumishi wake Gambo kaumiza watu kwa staili yale ya siasa za uongo na fitna. Katika barabara ambayo hakujua kama ataelekezwa arudi kuipitia, alijaza miiba mingi ambayo sasa analazimika kuikanyaga ili apite.

Kakutana na Mkuu wa Mkoa-Makonda ambaye pia fitna ni sehemu ya siasa zake, na anaweza kumchekecha vilivyo na asikemewe. Je kama Mkuu anajua mambo ya ndani ya mpango wa chama kwamba kinaweza na kiliweza kuishi bila Arusha, wakamuachia yule mkimbizi ajiponye kiuchumi? Mbona chama kiliishi bila Mbeya, Iringa na Arusha? Seuze 2025-2030

Ila kwanza Gambo akionje kikombe alichowaonjesha wenzake enzi akiwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, na baadae Mkuu wa Mkoa wa Arusha, na baadae mbunge wa Arusha.

Ushauri wangu kwake, aanze kuondoa vitu vyake binafsi pale ofisi ya mbunge, na aanze diary rasmi ya kuwaaga wana Arusha.
Ila Mrisho Gambo alivyokuwa mkuu wa mkoa alitesa sana watu
 
Gambo alichoharibu ni kutaka kuwaondoa wamama wa sokoni na wauza nguo barabani wanaoteswa na mgambo, hawataki hata kumsikia, wanaona kama makonda atawasaidia
 
Mrisho Gambo sasa anatakiwa kula chakula alichowalisha wenzake kwa muda mrefu sana, chakula chenye sumu ya fitna. Katika foleni, hakuna aliyebaki isipokuwa ni yeye, na mgawa chakula anamuangalia using kwa macho pima akiwa na upawa uliojaa chakula, gambo akiwa na sahani yake mbele ya mgawa chakula.

Katika utumishi wake Gambo kaumiza watu kwa staili yale ya siasa za uongo na fitna. Katika barabara ambayo hakujua kama ataelekezwa arudi kuipitia, alijaza miiba mingi ambayo sasa analazimika kuikanyaga ili apite.

Kakutana na Mkuu wa Mkoa-Makonda ambaye pia fitna ni sehemu ya siasa zake, na anaweza kumchekecha vilivyo na asikemewe. Je kama Mkuu anajua mambo ya ndani ya mpango wa chama kwamba kinaweza na kiliweza kuishi bila Arusha, wakamuachia yule mkimbizi ajiponye kiuchumi? Mbona chama kiliishi bila Mbeya, Iringa na Arusha? Seuze 2025-2030

Ila kwanza Gambo akionje kikombe alichowaonjesha wenzake enzi akiwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, na baadae Mkuu wa Mkoa wa Arusha, na baadae mbunge wa Arusha.

Ushauri wangu kwake, aanze kuondoa vitu vyake binafsi pale ofisi ya mbunge, na aanze diary rasmi ya kuwaaga wana Arusha.
Gambo kwa hulka zake sio mwenyeji wa jimbo analoliwakilisha bungeni. Ana sura za watu wa Karagwe atakuwa ni mnyambo aliyezaliwa na kukulia Arusha.

Amejawa na 'pride' mpaka anapitiliza, akifanya mchezo huu unaweza kuwa ubunge wake wa mwisho. Makonda yupo Arusha kwa mkakati maalum wa kisiasa.
 
Je yule mkuu wa mkoa aliyepotea kwa masiku na kuonekana baadae, Gumbo anaweza kutupa story kidogo?
 
Mrisho Gambo sasa anatakiwa kula chakula alichowalisha wenzake kwa muda mrefu sana, chakula chenye sumu ya fitna. Katika foleni, hakuna aliyebaki isipokuwa ni yeye, na mgawa chakula anamuangalia using kwa macho pima akiwa na upawa uliojaa chakula, gambo akiwa na sahani yake mbele ya mgawa chakula.

Katika utumishi wake Gambo kaumiza watu kwa staili yale ya siasa za uongo na fitna. Katika barabara ambayo hakujua kama ataelekezwa arudi kuipitia, alijaza miiba mingi ambayo sasa analazimika kuikanyaga ili apite.

Kakutana na Mkuu wa Mkoa-Makonda ambaye pia fitna ni sehemu ya siasa zake, na anaweza kumchekecha vilivyo na asikemewe. Je kama Mkuu anajua mambo ya ndani ya mpango wa chama kwamba kinaweza na kiliweza kuishi bila Arusha, wakamuachia yule mkimbizi ajiponye kiuchumi? Mbona chama kiliishi bila Mbeya, Iringa na Arusha? Seuze 2025-2030

Ila kwanza Gambo akionje kikombe alichowaonjesha wenzake enzi akiwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, na baadae Mkuu wa Mkoa wa Arusha, na baadae mbunge wa Arusha.

Ushauri wangu kwake, aanze kuondoa vitu vyake binafsi pale ofisi ya mbunge, na aanze diary rasmi ya kuwaaga wana Arusha.
Aondoe chupa yake ya chai, vikombe na bilauri za maji. Kama kuna korosho, popcorns, Karanga, amalizie malizie. Kama kuna hirizi aoendoe pia.
 
Gambo kwa hulka zake sio mwenyeji wa jimbo analoliwakilisha bungeni. Ana sura za watu wa Karagwe atakuwa ni mnyambo aliyezaliwa na kukulia Arusha.

Amejawa na 'pride' mpaka anapitiliza, akifanya mchezo huu unaweza kuwa ubunge wake wa mwisho. Makonda yupo Arusha kwa mkakati maalum wa kisiasa.
Sio wa Karagwe huyo. Atakuwa Mndengereko, Mkwere au Mzaramo. Halafu hajakulia Arusha. Alikuja tu kusoma akalowea.
 
Back
Top Bottom