mohammad_othar
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 247
- 42
Baada ya matokeo ya kidato cha nne kupangwa upya waliomaliza f6 wameachwa matatani kwa kua hawajui sasa itakuaje matokeo yao kwasababu Necta wanbidi wa pige kazi even 24 hrs kutoa hayo matokeo mapya ya f4.