Elections 2015 Sasa naanza kupata picha kwamba Apson Mwang'onda yupo kwa Lowassa kikazi zaidi...

Elections 2015 Sasa naanza kupata picha kwamba Apson Mwang'onda yupo kwa Lowassa kikazi zaidi...

Endelea kujifariji kuwa CC ina nguvu kuliko NEC then tukutane baada ya mwezi hapahapa JF. Watanzania makini wote hatumtaki Lowassa lakini ndio hivyo ameishatuzidi ujanja

yani na kuvuliwa nguo kote na wassira bado unafikiri he stands a chance?!kweli watu wana roho ngumu.
 
Nimeanza kuunganisha dots na kwa mbaali naiona picha kuwa kitendo cha Jasusi mkuu mstaafu wa nchi yetu kujiunga na kambi ya Lowasa kilikua ni cha kimkakati zaidi. Kwa wanaomfajamu Apson na utendaji wake tulijiuliza sana lakini tulikosa majibu.

Leo hii mara baada ya Edward kumaliza kufanya kampeni (Ninasisitiza kuwa ni kampeni na si kutangaza nia) yake pale uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ndipo nikazinduka na kutambua kuwa Apson alikua 'under cover' akiwa na jukumu maalum la kumdhoofisha Edward and Kingunge nailed it. Hili suala la magenge ya wasaka madaraka yaliyumbisha sana idara yetu ya usalama wa taifa kitu kilichopelekea idara hii kushutumiwa sana mitandaoni pia na makundi mbalimbali ya kijamii.

Ilikua si kazi rahisi kulimudu hili genge maana lilishajijenga vya kutosha na namna pekee ya kulisimamisha ilikua ni lazima the big man aingie in the war front and to begin with ilibidi ku step down then kujipenyeza ndani ya kambi hii ambapo na ku gain trust. Seems lengo la yeye kwenda front ilikua ni kulinda nguvu kazi ambazo idara hii ilikua ikizipoteza mara tu magenge haya yalipoona maslahi yao yanahatarishwa, (kujua zaidi unaweza ukarejea kingo za sakafu za mzee Kapinga na Daudi Mwakawago and others of a like zilipoishia).

Kwa kuwa magenge haya yanawakilisha maslahi mapana zaidi ya mataifa ya kigeni yanayoangalia namna ya kubena rasilimali zetu na yenye mitandao ya nguvu ya kijasusi, seems yali smell something fishy with Apson na hapo ndipo tukatangaziwa the return of The Kingmaker ambapo tukasikia kuwa Apson anawekwa kando (thou it was too late) kimtindo and the Kingmaker took over.

Kwa speech ya Edward na kila kitu kilichoendelea pale na kinachoendelea ndani ya kambi yake I can draw the conclusion kwamba the Game is Over. Ninaanza kupata hisia kuwa kutakuwa na transition kubwa zaidi mwaka huu.

Tanzania inarudi katika ubora wake, this is my country, I belong here. Hakika moyo wangu una furaha sana kuliko wakati wowote ndani ya miaka hii kumi. Si jambo dogo kuachia nafasi kubwa kama ile katika ofisi nyeti wakati muda ukiwa unamruhusu na kuamua kwenda under cover, hakika napata hisia idara yetu bado ingaki hai na nguvu na makali yake.

NB: Hizi ni hisia zangu baada ya kuunganisha dots kadhaa. Hazina uhusiano na taarifa yoyote rasmi. Unaweza ukawaza tofauti na kuwasilisha au kuchangia kwa namna yako mimi sitakuwa na cha kuongeza wala kupunguza.

Mkuu
Apson amestaafu kama viongozi wengine wanavyo stahafu, siyo kwamba amestep down kama unavyoeza hapa.
Na naamini kuwa baada ya kustahafu ana uhuru wa kuingia kambi yoyote. Si amini kuwa ana agenda yoyote ya siri.
 
yani na kuvuliwa nguo kote na wassira bado unafikiri he stands a chance?!kweli watu wana roho ngumu.

Wasira ameshindwa kujaza kale kaukumbi kadogo ka BOT Mwanza, na pia kwa kuwa naye ni mgombea aliyoyaongea yataonekana kama ni siasa za majitaka. Wasira hana hela za kufanya siasa za uraisi zaidi ya kuonekana kama ametangulizwa na Membe. Membe mwenyewe anaogopa hata kutangaza nia baada ya BAR kuwa raised jana. Ona kijana mdogo Mwigulu alivyomfunika Wasira
 
Conpiracy theories zimewajaa wanaJF hadi wanashindwa kuuona ukweli wa wazi kabisa... Apson bado anasimama kama mratibu Mkuu akishirikiana na yule Strategist wa Obama!!! ... Mnae Msema kama King Maker yeye anajukumu moja tu la Wajumbe wa CCM ambao wengi wao wanafahamiana vema sana ... haya ma dot yakiwa mengi yanakuwa matundu ya kuvujisha uhalisia Wakuu ...

Mkuu kumbe unaijua vizuri Tanzania.
Mleta mada amesema hisia zake tu.
Ukweli uko wazi Lowassa ndo atapitishwa na CCM. Piga uwa, Hakuna mwenye ubavu wa kukata jina lake.
Hayupo.( Kumbuka huyo aliyemtaja ndo alimwingiza JK madarakani). Kama niwafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi yetu mtakumbuka kuwa jina la JK lilikuwa lisifike hata 5 bora. Na huo ni mkataba upo. Kama mlimsikia jana kwenye hotuba yake mbovu alisema ni mara ya tatu anaomba ridhaa ambako mwaka 2005 alimuachia JK na yeye ndo alikuwa Campaign Manager wa JK.
Hakuna mtu ndani ya CCM anayeweza kupingana na huyo mzee AM.
 
Wasira ameshindwa kujaza kale kaukumbi kadogo ka BOT Mwanza, na pia kwa kuwa naye ni mgombea aliyoyaongea yataonekana kama ni siasa za majitaka. Wasira hana hela za kufanya siasa za uraisi zaidi ya kuonekana kama ametangulizwa na Membe. Membe mwenyewe anaogopa hata kutangaza nia baada ya BAR kuwa raised jana. Ona kijana mdogo Mwigulu alivyomfunika Wasira

Na hao waliojaza uwanja kule arusha walitoka wapi? Unadhani bil 1.5 za kujaza watu kule zilitoka wapi? Wasira is smarter than Lowassa.
 
Mkuu sina cha kunyoosha hapo. Yaani hivyo ndiyo hivyo hivyo, kama kuna cha kurekebisha hapo ni gramma maana hata mimi naona kuna herufi zimekaa mahali pasipo pake.

Kwa hiyo Idara ya Usalama wa Taifa imeingia front kumdhoofisha Laigwan,Kwa Maslahi ya nani ?
Kama ni kwa Maslahi ya Nchi basi TISS walipaswa kuihujumu na kuitokomeza CCM katika Sura ya Dunia.
Otherwise leo uniambie kuwa TISS ni idara ama Sub division ya Green Guard
 
Kwa hiyo Idara ya Usalama wa Taifa imeingia front kumdhoofisha Laigwan,Kwa Maslahi ya nani ?
Kama ni kwa Maslahi ya Nchi basi TISS walipaswa kuihujumu na kuitokomeza CCM katika Sura ya Dunia.
Otherwise leo uniambie kuwa TISS ni idara ama Sub division ya Green Guard

Sina cha kuthibitisha hapo mkuu wangu. Ni hisia tu.
 
Na hao waliojaza uwanja kule arusha walitoka wapi? Unadhani bil 1.5 za kujaza watu kule zilitoka wapi? Wasira is smarter than Lowassa.

Mkuu even Mwigulu is smarter than EL - ambaye anabebwa na mbwembwe nyingi wakati kichwani mtupu
 
Kama wanaubavu wakate Jina lake kama hawajamleta Ballali hapa bongo faster ....

Kauli hiyo ya kumleta balali aliitamka akiwa katika hali ya kuzidiwa na kilevi wakiwa huko Monduli katika moja ya vikao vyao vya kujenga mikakati. Alisikika akisema "wakithubutu tu kukata jina langu nitahakikisha namleta nchini Daud Balali"
 
Faiza mrembo wangu uko wapi? nilikuinbox hukunijibu. Ok, tuyaache hayo, njoo kwenye huu uzi nikusome tena switie
 
Hapa nitoe pongezi kwa ndugu yetu Consigliere kwa maono ya mbali, naweza amini sasa upo ndani ya kampuni.
 
Back
Top Bottom