Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumsifu yesu kristo naomba unitafute PM tuanze kusali kwa pamoja na pia tutafakari kwa pamoja mateso ya bwana wetu YESU kristo aliyekufa msalabani kwa ajili yetu.
he we umeingiza siko!!!!:nono:
Tumsifu yesu kristo naomba unitafute PM tuanze kusali kwa pamoja na pia tutafakari kwa pamoja mateso ya bwana wetu YESU kristo aliyekufa msalabani kwa ajili yetu.
Kama unatafuta binti wa kuoa ukiwa na miaka 29 tena kwenye mtandao, ni dhahiri utaoa ukiwa na miaka 40. Muda wote kutafuta ulikuwa wapi au unataka kugegeda wadada wa watu kwa kisingizio cha ukristo? Kama lengo lako ni kugegeda, we ni SATAN
Tumsifu yesu kristo naomba unitafute PM tuanze kusali kwa pamoja na pia tutafakari kwa pamoja mateso ya bwana wetu YESU kristo aliyekufa msalabani kwa ajili yetu.
ndo kitafuata kwikwikwikwikwi mie thimo.![]()
teh teh teh. We mwana wee
Napita
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
mim ni kijana miaka 29 ni mfanyabiashara nipo mpanda katavi mkoa mpya nahitaji msichana mcha mungu ili nimuoe umri 18-25
nn tena.
Mtandaoni hakuna kipimo cha ucha mungu
Ulienda kuombewa?
sijawahi labda nikifika 30yrs ndo nitajaribu maombi endapo mambo yatakuwa vice versa.