mwenzi anapatikana popote,kanisani,masijid,bar,shuleni,kwenye mziki nkUnajua mi sijaweza kuelewa hii staili ya kutafuta wachumba kwenye mitandao mi nadhani kama muda wa kuoa au kuolewa unafika pale unapompata mtu mnaanza urafiki uchumba then unaoa lakini usikurupuke tuu kwa kutangaza unataka kuoa unaoa nini sasa maneno! muombe mungu wako akupe mke mume mwema...naboreka sana kuona thread watu wanatoa humu na kuweka masharti ya nataka hiki nataka kile...kwa hiyo wasio na hizo sifa hawataolewa au kuoa achen hizo bana...muda wako ukifika hutakuw na hata haja ya kuesma ni hayo tuu kwa leo...