Sasa nataka kuoa.

mwenzi anapatikana popote,kanisani,masijid,bar,shuleni,kwenye mziki nk
 
Mwenye nia tuwasiliane.Si vizuri kufundishana namna ya kuchagua.
 

hujataja awe amepitiwa na wanaume wagapi! au hiyo haipo?
 

OKK....ila kaka inabidi upunguze masharti...au uwe flexible..
1. Kazi vs Umri : Ume-overlook fact ya kwamba wa-dada wengi katika hiyo age ndio either wapo chuo au wanatafuta kazi...au ndio wameanza....pengine ungesema mtu mwenye potential future.....
2. Criticism vs poltics : Mtu mwenye challenge lazima atakuwa anajua siasa kwa hiyo u either choose one...
3. Ulibwende vs Tabia??
4. Profile yako........naamini kuoa/kuolewa ni 2-way tarffic....so jichambue nawewe as weakness na sifa

Ushauri: Fanya mpango wa arranged marriage itakufaa zaidi....unaweza fanya over internet (cna hakika hapa nyumbani kama ni formal service) au kijijin kwenu ukawaambia wakutafutie mke...lol..
 
Kiukweli bado hujawa tayari kuoa mtu anayetaka kuoa unajulikana sababu mke ni zaidi ya vigezo vyako ulivyo vitaja, mke sio kama gari kusema nataka toyota nyeupe model fulani automatic milango 6 iwe na.................................... muda wako ukifika au utaita watu kwenye vikao au sherehe ya harusi na sio kututangazia vigezo kama unatafuta mfanyakazi wa kuajiri,
 
...Try the 'Missing Person' Department at a nearby Police Station.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…