baada ya kupita na kishangaa kila uchwao jf sasa nimeamua kuingia ndani na mm nijisongeze fikra zangu na kupata maarifa zaidi,
Nimesoma post nyingi sana za watu mbalimbali na nimejifunza mengi sana kupitia jf kiukweli kuna majukwaa murua na makini kwa watu makini waliopo jf na pia wale waipitiao tu!
Nashukuru kuwepo hapa na tusaidiane kwa kunipa miongozo kwani ni mgeni na nahitaji msaada wa wenyeji ili nikidhi viwango vya great thinkers thanks members wa jf na mofs ki ujumla.
Nimesoma post nyingi sana za watu mbalimbali na nimejifunza mengi sana kupitia jf kiukweli kuna majukwaa murua na makini kwa watu makini waliopo jf na pia wale waipitiao tu!
Nashukuru kuwepo hapa na tusaidiane kwa kunipa miongozo kwani ni mgeni na nahitaji msaada wa wenyeji ili nikidhi viwango vya great thinkers thanks members wa jf na mofs ki ujumla.