At least wewe umekuja na kitu solid.Kuna mtu kapost hii mahaliView attachment 945730
Amini nakuambia kwa jinsi dogo anavyojituma ku brand izo biashara jua ana hisa kubwa sana.Tumebakiza kwenye wasafi fm na Diamond karanga.
Nalijua hilo mkuu,japo dogo hajasom ila ni kichwa..Amini nakuambia kwa jinsi dogo anavyojituma ku brand izo biashara jua ana hisa kubwa sana.
Acha uongo mdauwla nisiende mbali,mmiliki ni kusaga ,kwenye documents za brela tcra anatumia jina la mzee tyson ana asilimia 92,diamond ana 8
majuzi kuna watu wakawa wanasema hii beef ni ya uongo kutengeneza pesa,beef ya uongo halfu watu wengine wakubali kuitwa hawana marinda?
kibali kimefutwa mmeamini sasa?joe kusaga mwenyewe angekuwa serious na clouds tena show ingepigika tu,Joe hana time nao,Ruge anaumwa waliobaki pale wanyonge hakuna mwenye connection,DAB juzi alikuwa anawachora tu kinyongo bado ancho anajua tangu avamie clouds umaarufu wake ulianza kuporomoka pale na shilawadu walivyoendelea kumponda mara ananuka mdomo na miguu
Issue iko hivi kwa wasiojua,clouds media ni mali ya marehemu mzee kusaga kwa hiyo watoto wote akiwemo Joe kusaga wana shares wako watano
Joe akaona baadaye yeye anapiga kazi kubwa at the end of the day kuna kugawana,akaanza juhudi kama kuanzisha clouds international huko dubai wapi aanakula hasara tu na ni mjanja wa kusoma nyakati alianza kuona clouds inavyopoteza mvuto thats why akarukia kwa diamond kutumia jina lake ukweli ni kwamba hela nyingi inaenda kwake
kwa wanaojua ndugu wa Joe,ni wajeuri kwelikweli hata Ruge kuna kipindi alidai apewe share asilimia 5 wakakataa so analipwa mshahara tu kwa hiyo kwa kilichotokea leo nafikiri ndugu zake wamepata LESSON KUBWA SANA,hakuna clouds bila Ruge wala Joe kusaga
Yes jamaa bado ataendela kula share zake clouds lakini haweki nguvu yake pale thats why alihamia dubai nafasi yake ikachukuliwa na Ruge,nafasi ya Ruge ikachukuliwa na seba maganga,nafasi ya seba ikachukuliwa na shaffih dauda
sasa angalia Seba na shaffih dauda walivyopwaya kwenye hii issue ,inasikitisha lakini pia inachekesha sana maana ubaya hawa jamaa waliofanyiaga watu huko nyuma ni mkubwa sana
juhaniya ni mke wa kusaga,mwanamama shombeshombe mzuri sana full time kuvaa miwaniAcha uongo mdauView attachment 945946
juhaniya ni mke wa kusaga,mwanamama shombeshombe mzuri sana full time kuvaa miwani
halafu subiri itoke hiyo ya mzee tyson kwenye wasafi fm,Hiyo documents niliiona mahala lakini najua itatoka tu...kuna waliokuwa wanabisha kabisa kusaga hausiki,wafike tu clouds waulize juhaniya ni nani?tena kuna kipindi hadi mdogo wake wa kike kama mwarabu naye alikuwa aanafanya kazi pale clouds,joe kusaga jembe kwenye jina la mwanamama hajaweka ubini wa kusaga,kwenye fm ndo kabisaaaaaHahahaha, unatumia nguvu sana kuwaelewesha watu humu Mkuu 1+3 ,ni ndugu
Mke wa kusaga na shemeji yake
KWA HIYO HATA KAMA NILIKOSEA ASILIMIA ZA SHARE.... POINT KUBWA SI NIPO SAHIHI? KUNA MKONO WA JOSEPH KUSAGA *tv ni yake*MAANA WATU HAPA WALIBISHA KABISAAAAAAAAAAAAAASasa hivi wanaamisha magoli 45% ni nyingi mno gata MO ana 49% kwa Simba na ndiyo mmiliki mkuu Mack wa facebook hisa zake pale hazifiki hata 30%.
Hata kama Kusaga anahusika,lakini 45% ni nyingi sana kwa kijana kama Diamond aliyeanza kupambana tunamuona!halafu subiri itoke hiyo ya mzee tyson kwenye wasafi fm,Hiyo documents niliiona mahala lakini najua itatoka tu...kuna waliokuwa wanabisha kabisa kusaga hausiki,wafike tu clouds waulize juhaniya ni nani?tena kuna kipindi hadi mdogo wake wa kike kama mwarabu naye alikuwa aanafanya kazi pale clouds,joe kusaga jembe kwenye jina la mwanamama hajaweka ubini wa kusaga,kwenye fm ndo kabisaaaaa
Hakuna aliebisha tatizo lilikuja ma haters wa Diamond kusema anatumika tu mali sio yake na kusema share aliyonayo haizidi 8% hakuna asiejua u partnership wa diamond na kusaga tatizo linakuja kutaka kutuaminisha hana chake.KWA HIYO HATA KAMA NILIKOSEA ASILIMIA ZA SHARE.... POINT KUBWA SI NIPO SAHIHI? KUNA MKONO WA JOSEPH KUSAGA *tv ni yake*MAANA WATU HAPA WALIBISHA KABISAAAAAAAAAAAAAA
View attachment 945977
UNAOTAA WEWE....MACK hisa zake hazifiki 30????Sasa hivi wanaamisha magoli 45% ni nyingi mno gata MO ana 49% kwa Simba na ndiyo mmiliki mkuu Mack wa facebook hisa zake pale hazifiki hata 30%.
Hata kama Kusaga anahusika,lakini 45% ni nyingi sana kwa kijana kama Diamond aliyeanza kupambana tunamuona!
Hongera sana kwake!
Ni kweli ana 28% kama sikosei!UNAOTAA WEWE....MACK hisa zake hazifiki 30????
Lakini yeye ndo mwenye Nyingi kuliko mwingne yeyote pale si ndio???Ni kweli ana 28% kama sikosei!
Mack ana miliki 28.2% kwa jamaa ame kadilia so mathematical kusema 30 yupo sawaUNAOTAA WEWE....MACK hisa zake hazifiki 30????
Hiyo document ipo wapi[name UOTE]
Unapoomba leseni TCRA hutangaza kwenye magazeti waombaji, hisa anazomiliki na aina ya leseni anayoomba. Kwa hiyo ilitangazwa kwenye magazeti, sikumbuki lini lakini ipo