Unaongea kwa sauti ya Mange Kimambi!!Joe na DAB huko wasafi ni kitu kimoja kama kweli angetaka iendelee wangeyamaliza hukohuko,suninimabie kwamba Joe angeshindwa kuongea na mwakyembembe,sirro,DAb au Jpm hili suala likaisha
Mambo mengine ni ya kutumia common sense tu!
Yaani unaamini kabisa Joseph Kusaga anaweza kuhujumu a well established family company aliyoitolea jasho since Day 1 kwa sababu tu, according to Mange, ameamua kuanzisha media house nyingine?
Hivi kwa akili yako unadhani Joe hana share za kutosha pengine kuliko mwanafamilia mwingine yeyote yule pale Clouds?! Hivi unaamini kabisa katika mazingira kama hayo anaweza kuthubutu kuiangamiza wakati at family level, Joe ndo Clouds na Clouds ndo Joe?! Hivi unaamini anaweza kuiua media yenye coverage nchi nzima huku ikifanya shughuli zingine nje ya nchi... tena aanze kuia kwa sababu ya Wasafi ambayo radio yake mwisho Dar es salaam na itawachukua zaidi ya mwaka kupata leseni ya nchi nzima!
Assume wewe ndo Joseph Kusaga; ungeweza kufanya upumbavu kama huo?!
Again, ikiwa hata nyie msiefahamu shareholding ya Clouds tayari mnafahamu eti Joe anaihujumu Clouds ifo Wasafi!! Ina maana hadi leo Kusaga Family hawajafahamu kwamba Joe anawahujumu ikiwa hata akina nyie tayari mnafahamu?!
Hivi inaingia akilini kwamba wangeendelea kumuacha aiongoze Clouds wakati wanafahamu ana lengo la kuiua?! Yaani mnaamini kabisa kwamba Mange anaweza kupata inside info za Clouds lakini Kusaga Family washindwe kuzipata?
Btw, Joe aki-fight kupata kibali cha Fiesta Dar kunaiporomosha vp Wasafi Media? Au ndo kwavile Mange kawaambia Joe anataka kuiua Clouds?!
Mashabiki wa Mange na wa Le Mutuz mpo kama kokoro vile! Yaani mnameza kila mnachoambiwa bila ku-digest!