Hii ni kweli kabisa. Documents zipo. Ila unatakiwa utumie jitihada kuzipata.ππ
KATIKA COMMENTS ZOTE HII NDIO KUNTU!
SIAMINI KAMA DIAMOND NA UJANJA WAKE WOTE ULE ETI AWE ANAMFANYIA MTU KAZI KWA NGUVU ZOTE HIZI... BIG NOOO!
HAWEZI AKAWA NA SHARE 8% TU YULE SIO BOYA! KIDOGO 48% NAKUBALIANA NA WEWE MKUU!
Kwa kutumia hoja za Annael, hii radio hapa chini inamilikiwa na IPP Media!Mnaweza kutumia frequency inayo fanana mikoa tofauti,so frequency ya Zanzibar huwezi itumia Dar,vitu vingi lazime mjue Analogue Telecommunication na maswala ya Modulation,waachieni wenyewe watu wa Spectrum Engineering TCRA.
Hahahaha!!! we jamaa wewe. Unamambo!!!
Mange anawalisha sumu.yeye anajua kila kitu na watu wana msikiliza upuuzi wake si huwaga tunawaangalia.
Hahahaha!!!! Ukiamka usingizini utaliona jua.
Hebu tupe data MkuuNikuulize maswali mawili tu.
1. Je, unajua vifaa vya clouds TV na FM vilitoka wapi!?
2. Je sakata la uvamizi wa clouds TV unajua mission behind!?
So ukijua vifaa vya clouds vilitoka wapi ndipo utajua mission behind ya sakata la uvamizi.
Sawa mheshimiwa umeshinda.Documents za ownership ya chochote, kinachofanya biashara kinakuwa BRELA... Mengine ni mbwembwe..
Watu wanapewa dots kisha wanaunganisha wenyewe.Hebu tupe data Mkuu
Mkubwa Ncha Kali yupo zake SCANAD kama creative director anakula mkwanja mrefu sana ..Wamrudishe Reuben Ndege sasa, la sivyo watapotea jumla jumla.
Sijakuelewa kabisa bossWatu wanapewa dots kisha wanaunganisha wenyewe.
Clouds ilikuwa ni uwanja wa mapambano tu. Wengine walikuwa wakisema walikuwa wanalala maporini.
Vuta kumbukumbu ya Hamorapa kukimbia siku waandishi wa habari waliitwa na kuhusu ufunguzi wa Ubungo flyover.Sijakuelewa kabisa boss
Ni kweli na jamaa ni potential na very creative. Kumrudisha ni makubaliano tu mkuu. Ni kumuongezea hela tu.Mkubwa Ncha Kali yupo zake SCANAD kama creative director anakula mkwanja mrefu sana ..
hawezi kurudi clauds tena
Bado hiyo sio hoja niliyoongea na wala havihusiani na nilichoongea unless kama unaamua kutoka kwenye hoja niliyoongea mimi!Nikuulize maswali mawili tu.
1. Je, unajua vifaa vya clouds TV na FM vilitoka wapi!?
2. Je sakata la uvamizi wa clouds TV unajua mission behind!?
So ukijua vifaa vya clouds vilitoka wapi ndipo utajua mission behind ya sakata la uvamizi.
hawezi kurudi mambo yalishakuwa personal ruge alimtenda vibaya mama watoto wa NCHA KALI (dina marios) akamtimua kazi kisa mchepuko wake zamaradiNi kweli na jamaa ni potential na very creative. Kumrudisha ni makubaliano tu mkuu. Ni kumuongezea hela tu.
Maana Ruge ndio hivyo tena Sasa wanahitaji Mtu mwenye uwezo na uzoefu.
Poa mkuu, ila kwa tasnia nzima ya radio na burudani kwa hapa bongo kwa sasa kutafuta kichwa cha kuibeba clouds tena ni ngumu kupata. Ni kama hamna kwanza.hawezi kurudi mambo yalishakuwa personal ruge alimtenda vibaya mama watoto wa NCHA KALI (dina marios) akamtimua kazi kisa mchepuko wake zamaradi
nimefanya kazi na SCANAD juzi hapa na nikapata wasaa wa kuzungumza na ncha kali (mambo ya design ya kazi yenyewe) kwa jinsi anavyoonekana anavyofurahia kazi yake SCANAD sidhani kama ni mtu wa kuondoka anytime soon
Wapo kama kokoro hawa... wanazoa kila wanachoambiwa bila kuchekecha!Mange anawalisha sumu.yeye anajua kila kitu na watu wana msikiliza upuuzi wake si huwaga tunawaangalia.
umeona eee nyie Mange anamaisha magumu jamani kutwa umbeaMange ???
Poa mkuu, ila kwa tasnia nzima ya radio na burudani kwa hapa bongo kwa sasa kutafuta kichwa cha kuibeba clouds tena ni ngumu kupata. Ni kama hamna kwanza.
Kama ugomvi uligeuka personal ni shida...