Sasa ndio mtaamini nani mmiliki wa wasafi tv na redio

Sasa ndio mtaamini nani mmiliki wa wasafi tv na redio

Mkuu hivi unajua walio nyuma ya Diamond kumfikisha hapo alipo Kusanga yupo? Walio mfanikishia mafanikio ya diamond pana mikono ya watu wengi wengi sana, Hadi Kikwete yupo, brand ya diamond imekuzwa na watu wengi sana + juhudi zake mwenyewe
Hata kama kusaga yupo lakini sio kwa wanavyotaka kutuaminisha kuwa mwenye brand eti ana percent ndogo.
 
Ningepata kuona ukiambatanisha na documents za brela (utanisahihisha) zinazoonesha umiliki wa wasafi, ingekua poa sana.
Lakini pia share hua wanaomba kupewa?
Nijuavyo mimi, share huuzwa.
 
Ulisha wahi kufanya biashara ya share?

Yaani mtaji wa kuanzisha project tuseme ni 50 Milion, mm nitoe milion 48 na ww utoe milion 2 halafu uje umiliki hisa 49 na mm nimiliki hisa 51? Hapa hata haitaji mwanasheria kama project ni wazo la kusanga na yy kma katoa hela nyingi, lazma Kusanga awe na hisa nyingi
Kusanga ndo nani
 
Kwa akili yao wanaona media ni kama duka unaweza kuliua duka la familia leo ukafungua la kwako na baada ya miezi mitatu likafanya vizuri, hawaijui struggle yakuestablish media house hadi ianze kufanya vizuri.

Mtu kama Joe anafahamu the hustle behind it, hivyo hawezi risk media kongwe eti kwasababu anaestablish media mpya! Anafahamu Wasafi media itawachukua miaka kadhaa kupata coverage iliyonayo Clouds leo hii, sasa aiue CMG mapema yote hii ili afaidike vipi? ikitokea akaiua Clouds na Wasafi isisimame Je?, Je nguvu za kimwili na kiakili alizokuwa nazo wakati wakuisimamisha clouds ataendelea kuwa nazo milele? Mi nadhani hakuna mfanyabiashara anayeweza kuchukua uncalculated risk za namna hiyo, Yule jamaa ako na brain angeweza kufanya vinginevyo na kusiwe na madhara kokote.

Kwa maoni yangu naona CMG inaweza kuwa na matatizo mengi ndani yake ila sio kuhujumiwa na mmoja wa wamiliki wake.

Bottom line, hili la mmiliki wa Wasafi media kwanini wanalazimisha tumtambue ni Joe tu mara Diamond ni kibaraka tu anatumwa, kwani hawajui kuwa company inaweza kuwa na mmliki mmoja na kuendelea? Btw, how a grown up man or woman anaweza kufikiria Diamond anamiliki 2% katika wasafi TV & FM? How? Unadhani kuna mfanyabiashara yeyote atamfata Diamond amwambie tuwekeze kwa Brand yako then nikupe 2% ya shares zote? Diamond ni zuzu ama hajui kubargain au hajui thamani ya brand yake aliyeitengeneza kwa jasho kwa muda mrefu? Najiuliza watu wa namna hii wanafikiria kwa kutumia ubongo kweli? Je wamewahi kujaribu kutengeneza brand ikakubalika hata katika ngazi ya kitongoji? Mi nafikiri waTz tujifunze kufikiri sawasawa.
Dah! We una akili sana... manake umetoa mfano mujarabu kabisa; Bishara ya Duka! Biashara ambayo hata miezi 3 uliyosema wewe ni mingi sana manake hata ndani ya mwezi mmoja, duka linaweza ku-shine kuliko maduka yote iliyoyakuta but not media business!

Clouds Media hao hao, wana radio ngapi but still inayojulikana sana ni Clouds FM! Halafu eti Kusaga aamue kuiua kwa kuitegemea Wasafi ambayo ndo kwanza ipo kwenye majaribio!

Hilo la Diamond na umiliki wa 2% ni mwehu tu ndie anaweza kuamini! Wakati huo uwekezaji wake unahitaji bilioni mia ngapi hadi akubali kumilikishwa 2%!! Watu wanaopewa 2% ni wale ambao hawana kabisa capital ya kuchangia na hivyo capital yao inakuwa ujuzi wao ili hatimae atumie ujuzi wake kuendeleza biashara husika huku nae akiwa kama mmoja wa wamiliki!

Sasa kama ulivyosema, yaani auze brand for 2% huku yeye mwenyewe akiwa ndo mpiga debe mkuu!

Halafu watu wanajisahaulisha tu! Diamond alikuwa na nia ya kuanzisha radio way back 2014 na kwahiyo wala sio kwamba kenda mtu kamfungulia idea ya media na kisha kuzawadiwa 2%!

Halafu acha kuadimika bhana!!
 
Dah! We una akili sana... manake umetoa mfano mujarabu kabisa; Bishara ya Duka! Biashara ambayo hata miezi 3 uliyosema wewe ni mingi sana manake hata ndani ya mwezi mmoja, duka linaweza ku-shine kuliko maduka yote iliyoyakuta but not media business!

Clouds Media hao hao, wana radio ngapi but still inayojulikana sana ni Clouds FM! Halafu eti Kusaga aamue kuiua kwa kuitegemea Wasafi ambayo ndo kwanza ipo kwenye majaribio!

Hilo la Diamond na umiliki wa 2% ni mwehu tu ndie anaweza kuamini! Wakati huo uwekezaji wake unahitaji bilioni mia ngapi hadi akubali kumilikishwa 2%!! Watu wanaopewa 2% ni wale ambao hawana kabisa capital ya kuchangia na hivyo capital yao inakuwa ujuzi wao ili hatimae atumie ujuzi wake kuendeleza biashara husika huku nae akiwa kama mmoja wa wamiliki!

Sasa kama ulivyosema, yaani auze brand for 2% huku yeye mwenyewe akiwa ndo mpiga debe mkuu!

Halafu watu wanajisahaulisha tu! Diamond alikuwa na nia ya kuanzisha radio way back 2014 na kwahiyo wala sio kwamba kenda mtu kamfungulia idea ya media na kisha kuzawadiwa 2%!

Halafu acha kuadimika bhana!!

Hhahaha hapo mwisho hapooo! Nipo bana maaongezi mengine kuleee.
 
Ulisha wahi kufanya biashara ya share?

Yaani mtaji wa kuanzisha project tuseme ni 50 Milion, mm nitoe milion 48 na ww utoe milion 2 halafu uje umiliki hisa 49 na mm nimiliki hisa 51? Hapa hata haitaji mwanasheria kama project ni wazo la kusanga na yy kma katoa hela nyingi, lazma Kusanga awe na hisa nyingi
Hela si chochote mbele ya brand...! Diamond ana brand kubwa ya wasafi na marketing anafanya mwenyewe, sasa ww mil 50 yako itasaidia nini
 
Mkuu hivi unajua walio nyuma ya Diamond kumfikisha hapo alipo Kusanga yupo? Walio mfanikishia mafanikio ya diamond pana mikono ya watu wengi wengi sana, Hadi Kikwete yupo, brand ya diamond imekuzwa na watu wengi sana + juhudi zake mwenyewe
Siku zote hakuna mtu anafankiwa pasipo mikono ya watu wengine...! Hayupo
 
Kwa akili yao wanaona media ni kama duka unaweza kuliua duka la familia leo ukafungua la kwako na baada ya miezi mitatu likafanya vizuri, hawaijui struggle yakuestablish media house hadi ianze kufanya vizuri.

Mtu kama Joe anafahamu the hustle behind it, hivyo hawezi risk media kongwe eti kwasababu anaestablish media mpya! Anafahamu Wasafi media itawachukua miaka kadhaa kupata coverage iliyonayo Clouds leo hii, sasa aiue CMG mapema yote hii ili afaidike vipi? ikitokea akaiua Clouds na Wasafi isisimame Je?, Je nguvu za kimwili na kiakili alizokuwa nazo wakati wakuisimamisha clouds ataendelea kuwa nazo milele? Mi nadhani hakuna mfanyabiashara anayeweza kuchukua uncalculated risk za namna hiyo, Yule jamaa ako na brain angeweza kufanya vinginevyo na kusiwe na madhara kokote.

Kwa maoni yangu naona CMG inaweza kuwa na matatizo mengi ndani yake ila sio kuhujumiwa na mmoja wa wamiliki wake.


Bottom line, hili la mmiliki wa Wasafi media kwanini wanalazimisha tumtambue ni Joe tu mara Diamond ni kibaraka tu anatumwa, kwani hawajui kuwa company inaweza kuwa na mmliki mmoja na kuendelea? Btw, how a grown up man or woman anaweza kufikiria Diamond anamiliki 2% katika wasafi TV & FM? How? Unadhani kuna mfanyabiashara yeyote atamfata Diamond amwambie tuwekeze kwa Brand yako then nikupe 2% ya shares zote? Diamond ni zuzu ama hajui kubargain au hajui thamani ya brand yake aliyeitengeneza kwa jasho kwa muda mrefu? Najiuliza watu wa namna hii wanafikiria kwa kutumia ubongo kweli? Je wamewahi kujaribu kutengeneza brand ikakubalika hata katika ngazi ya kitongoji? Mi nafikiri waTz tujifunze kufikiri sawasawa.
I love the way u presented this, hizo ndk akili sasa
 
Kuna mtu hapo juu kasema kuna share za 40.40.20,kachanganya madesa hizo ni za efm
efm.PNG
 
wla nisiende mbali,mmiliki ni kusaga ,kwenye documents za brela tcra anatumia jina la mzee tyson ana asilimia 92,diamond ana 8
majuzi kuna watu wakawa wanasema hii beef ni ya uongo kutengeneza pesa,beef ya uongo halfu watu wengine wakubali kuitwa hawana marinda?
kibali kimefutwa mmeamini sasa?joe kusaga mwenyewe angekuwa serious na clouds tena show ingepigika tu,Joe hana time nao,Ruge anaumwa waliobaki pale wanyonge hakuna mwenye connection,DAB juzi alikuwa anawachora tu kinyongo bado ancho anajua tangu avamie clouds umaarufu wake ulianza kuporomoka pale na shilawadu walivyoendelea kumponda mara ananuka mdomo na miguu
Issue iko hivi kwa wasiojua,clouds media ni mali ya marehemu mzee kusaga kwa hiyo watoto wote akiwemo Joe kusaga wana shares wako watano
Joe akaona baadaye yeye anapiga kazi kubwa at the end of the day kuna kugawana,akaanza juhudi kama kuanzisha clouds international huko dubai wapi aanakula hasara tu na ni mjanja wa kusoma nyakati alianza kuona clouds inavyopoteza mvuto thats why akarukia kwa diamond kutumia jina lake ukweli ni kwamba hela nyingi inaenda kwake
kwa wanaojua ndugu wa Joe,ni wajeuri kwelikweli hata Ruge kuna kipindi alidai apewe share asilimia 5 wakakataa so analipwa mshahara tu kwa hiyo kwa kilichotokea leo nafikiri ndugu zake wamepata LESSON KUBWA SANA,hakuna clouds bila Ruge wala Joe kusaga
Yes jamaa bado ataendela kula share zake clouds lakini haweki nguvu yake pale thats why alihamia dubai nafasi yake ikachukuliwa na Ruge,nafasi ya Ruge ikachukuliwa na seba maganga,nafasi ya seba ikachukuliwa na shaffih dauda
sasa angalia Seba na shaffih dauda walivyopwaya kwenye hii issue ,inasikitisha lakini pia inachekesha sana maana ubaya hawa jamaa waliofanyiaga watu huko nyuma ni mkubwa sana
kumbe da Mange alikua sahihi???
 
msingi wa clouds ilikuwa kupewa favour na serikali na ccm haswa awamu ya nne,unajua hata majukwaa kwenye issue za ccm na promo walikuwa wanapewa prime time,kampuni mama ya clouds iliyo chini ya God kusaga?ilikuwa ni mwendo wa kula mamilioni
Kikwete alitoa studio isaidie wasanii Ruge akataifisha leo imekuwa ya tht,kipindi hicho Ruge anapiga simu anytime kwa waziri au RPC au yeyote yule kukiwa na kizingiti,hii issue ilikuwa ndogo sana kwa Ruge na Joe kusaga sema Joe kaamua kukausha maana anaingiza mamilioni yake wasafi huko,last year DAB alisema iishe saa sita uliona Ruge alivyopambana hadi ikulu kitu kikakesha??/
kama nakuelewa hvi
 
Back
Top Bottom