Sasa ni Dhahiri Mbowe ni Mwalimu wa siasa Tanzania

Kumbe lijualikali alikuwa hivi!!!! Halafu kanyea kambi!!! Hivi nayeye yuko bungeni?
 

Tatizio unatoa sifa kuliko tunavyomfahamu. Huyu ni kibaka tu kama wengine mtu wa hovyo hovyo tu!
Msikilize akijieleza hapo chini
Your browser is not able to play this audio.

Source: Freeman Mbowe na Wema Sepetu ndani ya penzi zito
 
Niliwahi kusema na leo narudia tena. Pamoja nza mdhaifu mengine ya kibinadamu ambayo kila mtu anayo; Mbowe ni kiongozi makini sana kuwahi kutokea Tanzania. Moja kati ya sifa nyingi za kiongozi bora ni Kutokuwa na "kinyongo" kwa watu wanaokutenda ubaya; watu ambao wewe ndo uliochangia kuwa hapo walipo.
 
Hakika yoyote anaweza kuwa mwalimu maana inategemea anayefundishwa (mwanafunzi) ni nani.
 
wakati huo nyumbu wanasuta kwanini ziuzwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

ccm ni wazushi wakongwe,cdm wanajifunza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…