Konde kafail sana kumuonea zuchu wivu wa kushikwa takoJamaa kamponda Diamond kushika tako la Zuchu , naona mwanamama kaamua kujibu mapigo
Nchii haya ndy mambo yaliyobakiaLugha za vijana ngumu sana kuzielewa!!
Kitu pekee kinachomfanya awe relevant mpaka sasa kwenye game ni haters wa Diamond, ameamua kuendelea kutembelea upepo huo kwani ndiyo mbinu iliyomlinda Kiba kwa muda mrefu.Kila siku nawaambia Harmonize hawezi kuwa relevant bila kutembelea jina la Diamond Platnumz aka Simba. Bado anajenga jina lake kwa kutumia jina la Diamond na ndio kinaenda kummaliza, kashindwa kutengeneza system yake.
Imagine ameshindwa ku-take responsibilities kwa lebo yake kufa kifo cha aibu, anataka kuamisha lawama kwa Diamond kuwa ni moja ya tatizo. Mwisho wa siku atie huruma azoe wale mashabiki maandazi.
Kimuziki na kifedha kwa sasa harmonize hamfikii Zuchu, ofcoz alipata bahati ya kuwa na jina kubwa kuzidi vijana wote waliotengenezwa na Diamond na kuwapa ustaa na pesa nyingi ila jahazi ndio linazidi kuzama day after day.
Tuliposema atanyooshwa na Mbosso Khan kwenye EP Vs Album kuna mtu aliamini? Nafikiri mnaona sasa kinachoendelea mtaani.
Maji na mafuta hayakai pamoja hata tulazimishe namna gani.
Fact, manake hatujui huenda ikawa katika kubembeleza mapenzi kila kitu alikisainisha kwa jimama la town.Mwisho wa Siku utasikia kajala kamfukuza harmonaidhi konde gang
Bajeti imekaa kombo, muoneeni huruma Mmakonde. Yaani matumizi yanazidi mapato sasa anatafuta maarifa ya kumfanya asizame baharini bila ya kubadilisha lifestyle.Kakaa kwa diamond miaka zaidi ya mitatu na kabla ya hapo alifunzwa vingi lkn ameamua kumtema Binti wa watu mapema pasipo mwelekeo.
PR wa wasafiKila siku nawaambia Harmonize hawezi kuwa relevant bila kutembelea jina la Diamond Platnumz aka Simba. Bado anajenga jina lake kwa kutumia jina la Diamond na ndio kinaenda kummaliza, kashindwa kutengeneza system yake.
Imagine ameshindwa ku-take responsibilities kwa lebo yake kufa kifo cha aibu, anataka kuamisha lawama kwa Diamond kuwa ni moja ya tatizo. Mwisho wa siku atie huruma azoe wale mashabiki maandazi.
Kimuziki na kifedha kwa sasa harmonize hamfikii Zuchu, ofcoz alipata bahati ya kuwa na jina kubwa kuzidi vijana wote waliotengenezwa na Diamond na kuwapa ustaa na pesa nyingi ila jahazi ndio linazidi kuzama day after day.
Tuliposema atanyooshwa na Mbosso Khan kwenye EP Vs Album kuna mtu aliamini? Nafikiri mnaona sasa kinachoendelea mtaani.
Maji na mafuta hayakai pamoja hata tulazimishe namna gani.