Sasa ni Harmonize VS Zuchu

Sasa ni Harmonize VS Zuchu

Zuchu kasema "Nawaitu"
Kipaza sauti kinahamia kwa Harmonize sasa, ayakanyage mtoto wa Malkia wa Mipasho ayamalize.
[emoji897][emoji897]
 
Kitu pekee kinachomfanya awe relevant mpaka sasa kwenye game ni haters wa Diamond, ameamua kuendelea kutembelea upepo huo kwani ndiyo mbinu iliyomlinda Kiba kwa muda mrefu.
Namuona Inspeka Harun/Juma Nature/Afande Sele/Dudu Baya, yaani huyu dogo Mmakonde ndani ya miaka michache ijayo atakuwa kama hawa kaka zake walivyo sasa.
Mbona ana Nyimbo nyingi tu nzuri..acha hate
 
Umeelewa au hujaeleeawa. Black matters tuna shida sana.akikosea mzungu kiswahili unasema amejitahid....ila mbongo kwa English utamtoa uvungunii
Kingeresa Cha 'the are' aisee wajitahidi tu kupost kiswahili udhunguu hawamuwezi
 
Kingeresa Cha 'the are' aisee wajitahidi tu kupost kiswahili udhunguu hawamuwezi
Ila honestly kajitahidi sana, pole pole ndio mwendo. Kadiri anavyo_practice naona ndivyo anavyo_improve. Hongera Kwake.
 
Umeelewa au hujaeleeawa. Black matters tuna shida sana.akikosea mzungu kiswahili unasema amejitahid....ila mbongo kwa English utamtoa uvungunii
Mzungu anakosea kiswahili wakati huo anaongea na waswahili. Tatizo hapa ni kuwaongelea waTz Kiingereza wakati Kiswahili ndiyo lugha yao na yako. Shida ni hapo tu. Unless hii tweet yake iwe imewalenga wale wasiojua Kiswahili.
 
Mzungu anakosea kiswahili wakati huo anaongea na waswahili. Tatizo hapa ni kuwaongelea waTz Kiingereza wakati Kiswahili ndiyo lugha yao na yako. Shida ni hapo tu. Unless hii tweet yake iwe imewalenga wale wasiojua Kiswahili.
Ndo Yale Yale hta angeongea na wazungu as far mbongo unamsikia ungemkosoa tu.. si ndo wajuaj Namba 1
 
Mbona ana Nyimbo nyingi tu nzuri..acha hate
Nyimbo nzuri kwa kipimo chako, kila mtu ana taste yake ya muziki hivyo usinilazimishe kupenda upendacho wewe.
Besides all these point yangu ilikuwa ni ninavyoiona hatima yake kutokana na mtazamo wangu(I might be wrong though) na mbinu ya kujipambanisha na Diamond ili kupata sympathy na support kutoka kwa haters wa Diamond.
 
Kwanini konde kapiga kwenye mshono [emoji1]
 
Kila siku nawaambia Harmonize hawezi kuwa relevant bila kutembelea jina la Diamond Platnumz aka Simba. Bado anajenga jina lake kwa kutumia jina la Diamond na ndio kinaenda kummaliza, kashindwa kutengeneza system yake.

Imagine ameshindwa ku-take responsibilities kwa lebo yake kufa kifo cha aibu, anataka kuamisha lawama kwa Diamond kuwa ni moja ya tatizo. Mwisho wa siku atie huruma azoe wale mashabiki maandazi.

Kimuziki na kifedha kwa sasa harmonize hamfikii Zuchu, ofcoz alipata bahati ya kuwa na jina kubwa kuzidi vijana wote waliotengenezwa na Diamond na kuwapa ustaa na pesa nyingi ila jahazi ndio linazidi kuzama day after day.

Tuliposema atanyooshwa na Mbosso Khan kwenye EP Vs Album kuna mtu aliamini? Nafikiri mnaona sasa kinachoendelea mtaani.

Maji na mafuta hayakai pamoja hata tulazimishe namna gani.
Wimbo mmoja wa Harmonize ni sawa na Career nzima ya Mbosso.

Kwa Tanzania hii Harmonize anazidiwa na Diamond tu kimziki.
 
Kila siku nawaambia Harmonize hawezi kuwa relevant bila kutembelea jina la Diamond Platnumz aka Simba. Bado anajenga jina lake kwa kutumia jina la Diamond na ndio kinaenda kummaliza, kashindwa kutengeneza system yake.

Imagine ameshindwa ku-take responsibilities kwa lebo yake kufa kifo cha aibu, anataka kuamisha lawama kwa Diamond kuwa ni moja ya tatizo. Mwisho wa siku atie huruma azoe wale mashabiki maandazi.

Kimuziki na kifedha kwa sasa harmonize hamfikii Zuchu, ofcoz alipata bahati ya kuwa na jina kubwa kuzidi vijana wote waliotengenezwa na Diamond na kuwapa ustaa na pesa nyingi ila jahazi ndio linazidi kuzama day after day.

Tuliposema atanyooshwa na Mbosso Khan kwenye EP Vs Album kuna mtu aliamini? Nafikiri mnaona sasa kinachoendelea mtaani.

Maji na mafuta hayakai pamoja hata tulazimishe namna gani.
Aisee wew Sasa Ni mahari kwa mziki huu nitakuwa nakucheki unipe abcd za mziki wetu wa Sasa

Unataka kuniambia ep ya mboso inakimbiza kuliko ep ya hormonize

Kwanza nifahamu nin tofauti ya ep na album
 
Back
Top Bottom