Sasa ni rasmi kuwa Majizo wa EFM na Diamond wa Wasafi FM wameingia Vitani

Sasa ni rasmi kuwa Majizo wa EFM na Diamond wa Wasafi FM wameingia Vitani

Na kama hujaajiriwa umejiajiri basi bado unahangaikia pesa sio pesa ikuhangaikie uwe umeajiri watu na ukosem muda wa kupata habari hata kama sio redioni mubashara zipo redio mtandaoni au bundle nalo pasua kichwa
nimekwambieni, acha kujadili watu, tafuta pesa upunguze hasira. au ndo afya ya akili, maumivu yakizidi nenda kwa wanasaikolojia wakusaidie.
 
Aiseee Majizzo wanampukutisha ,watangazaji wake wote wazuri wanamkimbia.
 
Back
Top Bottom