Hakuna kitu kama hicho. Tena tema mate chini. Wa kawaida ni huyo jiwe. Tena chini ya kawaida.Nyerere alikuwa rais wa kawaida sana, Narudia Tena wa kawaida sana..
Sema tu alitengeneza hofu kwa Raia..
Kuna vitu vingine kijana unahitaji kuvifatilia na kufanya studies nyingi sana utakuja kunielewa