Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

Nyerere alikuwa rais wa kawaida sana, Narudia Tena wa kawaida sana..
Sema tu alitengeneza hofu kwa Raia..
Kuna vitu vingine kijana unahitaji kuvifatilia na kufanya studies nyingi sana utakuja kunielewa
Hakuna kitu kama hicho. Tena tema mate chini. Wa kawaida ni huyo jiwe. Tena chini ya kawaida.
 
A wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…