Sasa ni rasmi Mechi ya Simba na Plateau haitoonyeshwa Runingani kwa Figisu za Wenyeji hivyo nawaomba Simba niwe Mkuu wa Kamati ya Kulipiza Kisasi

Sasa ni rasmi Mechi ya Simba na Plateau haitoonyeshwa Runingani kwa Figisu za Wenyeji hivyo nawaomba Simba niwe Mkuu wa Kamati ya Kulipiza Kisasi

Naombeni link wakuu, hii mechi naionea wapi? Hakuna mwenye link ya ku stream onlone?
 
Basi acha kuleta Uongo uongo. Waulize Enyimba wenyewe watakwambia, Simba aliwapiga 2 wakafuta mechi dkk ya 75 kisa maji uwanjani. Waulize akina Emmanuel Gabriel na Pawasa watakueleza ule mtafaruku
Acha ubishi mkuu, hiyo mechi ni dhidi ya zamaleki sio enyimba
 
Kwanini tunamalizia na neno la kwamba wamekataa kuonesha mechi sababu ya figisu badala ya kutueleza sababu zao za kukataa kuoneshwa mpira live ni zipi? Mazungumzo yalifanyika baina ya pande zote tatu (uongozi wa Simba, Plateau na Azam media) sasa kwanini sababu walizotoa plateau haziwekwi wazi ni zipi badala yake tunaaminishana ni figisu?
Huo ndo uswahili wa mbongo hakupi sababu ni nini anakuletea lawama tu.
 
Nimecheka sana Mkuu wangu hebu nikumbushe kwani nimeshausahau. Napiga Mikwara mingi tu hapa JF mpaka mingine huwa ninaisahau haraka.
Kipindi cha uonyofoaji wa kucha...
Nahisi ulisema kama hujawahi tumbukizwa kwenye tindikali endelea kunijua
 
29 November 2020
Jos, Plateau state
Nigeria

CAFCL: “We Are Happy With Result “, Simba SC Coach

Photo : Coach Sven Van Derbroeck along with his assistants watching the game today in Jos, Nigeria. Results : Plateau United 1 : 0 Simba SC

After securing an away win against Nigeria’s Plateau United, Simba SC of Tanzania coach, Sven Vanderbroeck has expressed his happiness about the outcome of the game, BSNSports.com.ng reports.

The Tanzania champions surprisingly defeated Nigeria representative Plateau United 0-1 in the CAF Champions League, at home in Jos.

Sven, while speaking after the match confirmed that the Nigeria side look very strong but the outcome of the match really appeal to them.

“It was a tough game. They are strong and they tried technically to find a goal but I congratulate my players. I think we should be very happy with the win. Good results but we haven’t finished yet because next we have another 90 minutes,” he stated.

Simba will host the return leg at Dare Salam next weekend.

Source : CAFCL: "We Are Happy With Result ", Simba SC Coach - BSN Sports
 
29 November 2020
Jos, Plateau state
Nigeria

CAFCL: Simba SC Shock Plateau United At Home​


Photo : Simba's Clatous Chama scoring a vital goal for the Tanzanian side.

It was a bad day in office for Nigeria campaigner in the CAF Champions League Plateau United as they suffered a home defeat to Tanzania champions, Simba SC, BSNSports.com.ng reports.

The match played at the New Jos Stadium saw hosts dominating the opening proceedings with the exchange of passes.

Government delegations led by the state Governor Solomon Lalong and Sports Minister Sunday Dare were all in attendance to offer supports to the team, as the team continue its domination.

But the team failed to take its chances as they allowed Simba grew confidence as the game progresses.

First half ended goalless but the away side returned as the better side in the second half and seized control of the game.

Clatous Chama broke the deadlock in the 53rd minute after a mixed up in the box of Plateau United and all the efforts of the team to come back proved abortive.

Simba SC will host Plateau United In the second leg of the preliminary round next weekend.

Source : CAFCL: Simba SC Shock Plateau United At Home - BSN Sports
 
CEO wa Simba SC Barbara (Babra) Gonzalez katika Kurasa zake za Mitandao amesema kuwa wamejitahidi vya kutosha tena kwa Kuhangaika huku na kule ile Mechi ya Simba SC na Plateau United unaochezwa leo Jumapili tarehe 29 Desemba 2020 uonyeshwe Mubashara na Azam TV lakini imeshindikana kwa Umafia na Figisu zinazofanywa na Wenyeji hao. Pia amewaomba Radhi wana Simba pamoja na Wanamichezo wote.

Sasa Mimi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka na hili kwani kwa Mipira yetu ya Afrika nililitegemea lakini nina Ombi tu Kwenu Viongozi wa Simba SC na hata wana Simba wote popote pale mlipo kwakuwa Mechi yetu na marudiano nao ni Wiki (Weekend) ijayo naomba niteuliwe Mkuu wa Kamati ya UMAFIA,UKATILI NA ROHO MBAYA Maalum kwa Kuwanyoosha na Kuwalipizia Kisasi hawa Wanaijeria (Plateau United ) na nina uhakika wa 100% kwa nilichopanga Kuwafanyia wakienda Kwao watatukumbuka Milele.

Kama Mimi na Team yangu tuliweza Kumfanyia Umafia ( Unyangindo ) Mpuuzi Mmoja aliyekuwa ameshajiaminisha kuwa Dar es Salaam na Tanzania yote hii ni yake hadi kujiita Makamu wa Rais Kivuli na Kukosa Kura huko Baharini Dar es Salaam pamoja na kwamba alihonga sana, alitishia Watu na ana Network Kubwa hadi System ndiyo nitawashindwa hawa Matapeli FC Plateau United?

Na ole wake nione Mtu wa kutoka Serikali ( Wizarani ) au ndani ya Simba SC anasema tusiwalipizie Kisasi nitakufa na Wewe. Nimekereka nao sana.
Ccm wapo, wataiba ubao wa matangazo.
 
Back
Top Bottom