Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Sawa baba umeshinda[emoji119] [emoji119]kumpenda mtu akiwa kwenye mahusiano inaruhusiwa isipo kuwa na yeye akianza kukupe da kuna hatari hapo.
pili watu wengi wako kwenye mahusiano wanapata shida tu, waondoke wakatafute watu wenye wataendana nao