Sasa ni rasmi ukiwa Mtangazaji wa TBC 1 jua una 99% za muda wowote kuwa Mkuu wa Wilaya

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hii inaonyesha kuwa huenda katika Media zingine (ukiachana na TBC) huwezi kumpata Kiongozi mahiri au hawajaiva Kimaadili hivyo hawastahili kuteuliwa kuwa Wakuu wa Wilaya.
 
acheni ujuha nyie kwani Godwin Gondwe na Abdalah Mwaipaya walitoka TBC? mbona na huyo Gabriel Zakaria Wenu wa TBC kapigwa chini, hivi vyeo ni matokeo ya uchawa wako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…